Tungaraza Jr
Senior Member
- Feb 3, 2012
- 196
- 49
picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!!
Dr Slaa kasomea, niambie Dr. ya JK kama hata proposal anajua kuandika na GPA yake ya 2.3? Acha kurukaruka ulikua unahutubia watoto wa darasa la kwanza na chekechea ambao wakifika darasa la 6 wanaona uozo wa CCM. Ulipoona maandamano ya chekechea ulijisikiaje?