Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,269
- 2,024
CCM ina mambo ya ajabu sana Mara Tanzania hakuna Upinzani mara Chadema ilikwishakufa lakini CCM hao hao ndio wapo kimbelembele kufuatilia Maandamano ya Chadema sasa sijui ni CHADEMA ipi wanayoifuatilia wakati Chadema mlisema ilikwishakufa.
CHADEMA ndio wenye maandamano yafane au yasifane ni jukumu lao. Cha ajabu Machawa wa CCM wanakesha mitandaoni kuyabeza eti hayakufana mara waandamaji wachache ili mradi ionekane hayakufanikiwa.Kama Chadema wenyewe wameridhika tatizo ni nini?
CCM tulieni Waachane Chadema wafanya mambo yao na kumbukeni Chadema haijafa na haitakufa atakayetaka kuiua Chadema ATAKUFA YEYE mfano tuliuona.
CHADEMA ndio wenye maandamano yafane au yasifane ni jukumu lao. Cha ajabu Machawa wa CCM wanakesha mitandaoni kuyabeza eti hayakufana mara waandamaji wachache ili mradi ionekane hayakufanikiwa.Kama Chadema wenyewe wameridhika tatizo ni nini?
CCM tulieni Waachane Chadema wafanya mambo yao na kumbukeni Chadema haijafa na haitakufa atakayetaka kuiua Chadema ATAKUFA YEYE mfano tuliuona.