Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

Kwa mzee kama slaa kutelekeza familia ni aibu na ni janga la kitaifa,
 
Kimbiza wachaga hao,kimbiza wazinifu hao kimbiza wacheza disko hao kimbizaaaa
 
Bilicanas ni kitovu cha ushoga na usagaji hapa nchini,tuilaani kwa pamoja.
 
Pole sana nepi , muda siyo mrefu utakuwa pampas. Niweke id yangu hapa ili uni ulimboka? labda nisikie ule msitu wapande umesafishwa.
Nepi unaangaika sana tumewachoka hamjajua hilo bado , kumbuka kilichotokea arumeru mashariki siku ya ijumaa tar 30 march 2012 mkitoka kwenye mkutano wa kufunga kampeni pale uwanja wa patandi.mnakumbuka mlivyo zomewa. naomba ni kukumbushe Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees Poweeeeeeeeer.

hivi kwanini slaa ametelekeza familia,kwanini mbowe anaendesha danguro na ushoga pale bilucanas?
 
Back
Top Bottom