Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Sina la kuongeza zaidi ya kuona sisi M wanakufa na kuibuka na chama kipya chenye matumaini mema kwa watanzania bila kujali ni chama gani.
Sijali huu usanii wa vikao viiiingi vya kujifungia maana hii ni jadi yao na hapo ndipo walipotuletea msanii JK tokana na vikao sampuli hii hii.
Sijali huu usanii wa vikao viiiingi vya kujifungia maana hii ni jadi yao na hapo ndipo walipotuletea msanii JK tokana na vikao sampuli hii hii.