Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

spika sitta kama yatamfika hayo hakuna wa kumlaumu, amesahau kuwa usipomuuwa simba atakuua wewe ila tupo pamoja mzee wetu
 
Wana Jf taarifa zilizonifikia sashivi ni kwamba JK amemuita Sita na kumwambia kuwa hali ya ukumbi umeina nitakupa DK kumi ujiteteee ukizitumia vizuri utapona ukishindwa kuzitumia sitazuia wazo la wewe kutakiwa kurudisha kadi ya ccm.

Kama Rais wa Nchi nae anasimama hadharani kutetea kundi la wale wanaoliangamiza Taifa, basi ni wazi kuwa tumekwisha na nchi imeshazama kusikojulikana.

Hivi huyu Rais yuko kwa masilahi ya Taifa ama amewekwa na kundi fulani kwa masilahi yao binafsi?
 
ni huyu huyu mgeja aliekifilisi chama cha ushirika shinyanga SHIRECU hadi leo kipo hoi ni fisadi wa kutupwa wa siku nyingi , mungu wangu hii CCM ikiendelea kuwakumbatia watu wa dizaini hii lazima moto uwake tupigane vita tuwachinje mafisadi hawaondoki kwa kura hawa
 
Wana Jf taarifa zilizonifikia sashivi ni kwamba JK amemuita Sita na kumwambia kuwa hali ya ukumbi umeina nitakupa DK kumi ujiteteee ukizitumia vizuri utapona ukishindwa kuzitumia sitazuia wazo la wewe kutakiwa kurudisha kadi ya ccm.

Taarifa zaidi ni kuwa babu sita wapambe wote wamemkimbia hakuna anesimama kumtetea na anaonekana mpweke amebaki na mama sita ambae inaaminika anatiiza wajibu wa mke kwa mumewe.

Heeh, hi kitu imefikia hapo? Aliposema kuwa zile kashfa za ufisadi ni mbinu chafu za maadui wake, wengi tulimbeza sana......now I can connect the dots hapa.....! Huyu Six ana maadui wengi sana kwa kweli tena ndani ya SISIEM!
 
Kwa hakika nilisha wahi kusema kwamba JK hana nia ya kupambana na wala rushwa .Maneno mnayasema wenyewe kamwita Spika na kumpa muda .JK katika kampeni zake siku alipo tamka rushwa alidondoka ale jangwani mkasema alikuwa anafunga ndiyo sababu lakini ni dhambi ya kuwa mla rushwa na akataka kusema atapambana na rushwa .JK hakuwa na na sifa za kuwa Rais wa Tanzania ila ndiyo hivyo kesha pewa .Yaani unamwambia spika maneno hayo ? Ina maana yeye anaona ufisadi ni shwari kabisa ?
 
Hamis Mgeja Mwenyekiti wa CCM Shinyanga,.....

Aliyemuandalia mapokezi ya kufa mtu mzee wa vijisenti baada ya kujiuzulu uwaziri kufuatia kashfa ya vijisenti.

Ana kashfa ya kujitafunia vijisenti vya halmashauri ya wilya ya Kahama kiasi cha zaidi ya milioni 70 alipokuwa mwenyekiti wa halmashauri hiyo.

Haishangazi kwa yeye kumshambulia Sitta,(hata kama spika ana matatizo), kwa namna anavyoliongoza bunge, mafisadi na uzao wao lazima wachukie, wanune, na watafute mbinu za kupunguza mashambulizi.

Huyu jamaa Hamisi Mgeja namfahamu siku nying ni jamaa hopeless hata sikuamini niliposikia amekuwa mwenyekiti wa CCM wa mkoa. Katika wajinga wanaotumiwa na mafisadi akina RA, Lowasa, Chenge etc. huyu ni number one anayetumika kama robot lao, na hata haya kutamka namno hiyo ni jamaa walimwelekeza. Ukija kwenye shule ni standard seven, sijui hata kama anafahamu majukumu ya spika na bunge la vyama vingi na wabunge wenye hoja na mtizamo tofauti
 
CCM imepoteza dira,mambumbumbu ndiyo wanaopewa nafasi,watu smart hawatakiwi kwenye hiki chama,ukiwa smart huwezi kupata nafasi ya kuonekana.
 
Mzee six warudishie CHADEMA tunakusubiri na lazima utarudi tena Mjengoni, Wananchi wa kawaida wanaelewa kazi uloifanya katika kipindi chako kifupi cha Uspika, isikupe pressure kuondolewa kwenye Chama cha Manyang'au!

Mchango wa Sita ni mkubwa mno pale Bungeni, kitendo cha kubadili baadhi ya kanuni kimesaidia kuwapa nguvu wabunge na kulirudishia Bunge heshima yake, mimi naungana na wanaopanga kumg'oa CCM kwani huo ndo mwisho wake, kitagawanyika mapande mawili!!!!!
 
Nukuu
Natamani CCM ipasuke. Mwl J.K Nyerere
 
Hivi huyu mbunge wa shinyanga ana akili gani? huyu ni miongoni mwa wale viongozi wasiopenda maendeleo ya nchi hii, huyu inaonesha yuko kwa ajili ya tumbo lake na matumbo ya anaowatetea, ipo siku viongozi kama hawa tutakuja kuwachapa viboko hadharani!!!
 
spika sitta kama yatamfika hayo hakuna wa kumlaumu, amesahau kuwa usipomuuwa simba atakuua wewe ila tupo pamoja mzee wetu

wrong haTUPO PAMOJA..ila wewe ndio upo pamoja naye...kwenye kufoji risiti za fansida za dola elfu2

si MZEE WETU bali ni mzee wako peke yako

wengine wazee wetu si MAFISADI kama huyu SITTA

Got that right
 
- Duh! Wakuu naona inatia huruma kweli hapa, ngoja tutafute dataz za kweli sasa,

- So far wakulu wote wako kikaoni, lakini tutakuwa nazo wakimaliza tu na kama kawa tutaziweka hapa soon!

Respect.

Kamanda Field Marshall Es!
 
- Duh! Wakuu naona inatia huruma kweli hapa, ngoja tutafute dataz za kweli sasa,

- So far wote wako kikaoni tutakuwa nazo na kama kawa tutaziweka hapa soon!

Respect.

Kamanda Field Marshall Es!

Mkuu vipi mbona sipaoni pa kukugongea asante vipi au mashine yangu imfisaidiwa nisikupe asante
 
Yale yale ya kale, hakuna cha kikaango wala nini! Kama wameweweseka kwa makamba, ina maana kwa Mr Six wako chali!
 
Huyo Mwenyekiti wa CCM Shinyanga hasomi nyakati, naye fisadi nini? Anafikiri huu ni ule wakati wa CCM Kujifungia ndani na kutishiana.Amuulize Hosea ambaye alipindisha report ya Richmond?
 
Wana Jf taarifa zilizonifikia sashivi ni kwamba JK amemuita Sita na kumwambia kuwa hali ya ukumbi umeina nitakupa DK kumi ujiteteee ukizitumia vizuri utapona ukishindwa kuzitumia sitazuia wazo la wewe kutakiwa kurudisha kadi ya ccm.

Taarifa zaidi ni kuwa babu sita wapambe wote wamemkimbia hakuna anesimama kumtetea na anaonekana mpweke amebaki na mama sita ambae inaaminika anatiiza wajibu wa mke kwa mumewe.
Natamani ningekuwa karibu na sitta na kumwambua -rudisha kadi yao maana unatekeleza kazi ya watu na si ya ccm kwani bunge si la ccm bali la wawakilishi wa wananchi.

Kwahiyo JK ameamua kukaa upande wa mafisadi waziwazi! sawa Kila utawala hujitengenezea mazingira ya kuanguka bila kujua.
 
Hivi kweli JK kamwita Spika?? hii habari niya kweli?? Presha inashuka/kupanda!!
 
Waangalieni wanavyohangaika kuzima moto unaoanza kuwaka wa umma.Wanauwana wao kwa wao.PROBLEM yA CCM NI MAKUNDI.Mwanzilishi wa makundi ni Kikwete na kundi la mtandao.Makundi lazima yaimalize ccm.Ole wako yule mwanaume angekuwepo uraisi ungeusikia mbali.Yule mwanaume jina lake Kambarage.
 
CCM haina jipya ilishakuwa ni genge la Manyang'au. Tatizo la WaTZ wengi ni wanafiki wanaoangalia maslahi binafsi wakidai "Tunapiga vita ndani ya CCM" something which is very wrong.

What I want them to know wanatakiwa waondoke wakaanzishe kambi nyingine ya kuishambulia CCM.

Wasomi wetu nao ni wanafiki watupu, CCM mara hiki, mara kile wakati nusu ya bajeti yote inaishia mifukoni mwa mafisadi.

Natamani utabiri wa shekhe Yahaya Hussein utokee haraka tena hapa haraka iwezekanvyo.
 
Back
Top Bottom