Maajabu ya mwanaume niliyenae

Maajabu ya mwanaume niliyenae

Twende mbele turudi Nyumba kuna kitu kinaitwa "AFFECTION" T matters the most to women n that's y wengi tumeshangazwa na kumuona Dada hana akili but assume huyu Dada anapata kazi na kujiweza kiuchumi do u think huo uhusiano utaendelea?ts likely utakua na Dada atafall kwa MTU asiye na mbele wala nyuma n that's how t is
Genius
 
Akili kubwa haiwezi kutawaliwa na akili ndogo. Kwanza umesema upo home tena mwenyewe unasema huyo jamaa anakulipia kodi halafu kila ukihitaji kupigwa mambo anakutumia nauli. Hujui unachosema na kwa haraka wewe hufanyiwi hivyo ila unawaza kwa mfano ikiwa hivyo. Ahahahahaaaa
Unajitamanisha nyau wewe
pole mwaya
 
Hakyamungu mtu akija kupata formula ya kuelewa mahtaj ya mwanamke atakua milionaire
Wanawake ni kama kenge yaani unaweza kumuweka kwenye maji kumbe anataka kukaa nchi kavu yaani huwezi jua mwanamke anahitaji nini kwa muda gani
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
Ukiona hivyo ujue wewe ni mfugo wake,ipo siku atakuuza au atakuchinjaa
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
wewe ni chombo tu cha starehe. Hata namna yako ya uandishi haionyeshi kama utaweza kuyamudu maisha ya ndoa
 
Yuko busy kukutafutia mahitaji we tulia ukiwana hamu omba nauli uende ukimsumbua tu umekwisha..........Board ya mkopo si bado sasa tulia
 
Waambie hao...they think love needs material things,,wakati udhaifu wa mwanamke upo maskioni..!
Sisi Wanaume tunakutana na wanawake wengi daily or weekly, tuna uhakika udhaifu wao upo kwenye "PESA"

Udhaifu wa mwanamke yupi hasa upo masikioni? Huyo mwanamke ni Mbongo?

Au, hebu fafanua zaidi huo usemi wa kwamba "Upo Masikioni"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom