Maajabu ya mwanaume niliyenae

Maajabu ya mwanaume niliyenae

Heaven sent....that's ua side, n its never happen to the Majority of you.

U better ask us, we meet them...we date them...we know them women.
Usihangaike jutaka kujua wanawake wanataka nini, hutowaelewa wanawake wote milele. Usimtreat mtu kwa kuassume kuwa wote wapo sawa na uliokutana nao before. Jua tu mwanamke "wako" anataka nini, then go with the flow
 
fanya uimalize aisee mkuu mie ntakua marketing department ya hyo formula.
Tatizo wakati ukiwa unaifanyia marketing... hawa viumbe watanihitaji niingie tena laboratory... maana lazima watakuwa wamezua jingine. Hawa wadudu naamini hata Mungu hajajua kwa 100% ni kipi hasa wanachohitaji ili waridhike
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
Unasema tangu umalize chuo huna kazi kumbe Kazi unayo....!

Jitume ukiwa kazini.
 
Jifunze kuridhika ww. Jamaa anatafuta hela sio kila mda unawaza kukazwa tu.
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
Kabla ya kuja huku ulitakiwa umweleze yeye kama mpenzi wako. Kuna watu kupetipeti ni hulka yao.... Unaweza kubadili mtazamo wake. Kama anakuhudumia maana yake anakujali na kama anakujali wewebuna thamani kwake na kama una thamanibkwake maana yake anakupenda. Wewe kama unataka maneno na si vitendo achana naye nenda kwa wenye maneno mazuri kama hujajuta kuzaliwa. Mapenzi ndo hayo wewe kama unataka maneno mengi tafuta humuhumu jamii forums nakuhakikishia utagegedwa itapewa maneno matamu but no future, no huduma.
 
Tatizo wakati ukiwa unaifanyia marketing... hawa viumbe watanihitaji niingie tena laboratory... maana lazima watakuwa wamezua jingine. Hawa wadudu naamini hata Mungu hajajua kwa 100% ni kipi hasa wanachohitaji ili waridhike
ha ha ha ha ni zaidi ya mabadiliko ya kinyonga mkuu, ila sio mbaya anza na hyo kipind unaimalizaia ntaku update kipi kinahtajika kwa sasa kiongezewe ili ifike atlist 80% sio mbaya kwa kuanzia
 
Kupetipeti ni kipaji kama vipaji vingine so usimlazimishe kama sio kipaji chake. we si unaona katika mkwanguo yuko fit, sasa hapo ndo kipaji chake.
 
Kabla ya kuja huku ulitakiwa umweleze yeye kama mpenzi wako. Kuna watu kupetipeti ni hulka yao.... Unaweza kubadili mtazamo wake. Kama anakuhudumia maana yake anakujali na kama anakujali wewebuna thamani kwake na kama una thamanibkwake maana yake anakupenda. Wewe kama unataka maneno na si vitendo achana naye nenda kwa wenye maneno mazuri kama hujajuta kuzaliwa. Mapenzi ndo hayo wewe kama unataka maneno mengi tafuta humuhumu jamii forums nakuhakikishia utagegedwa itapewa maneno matamu but no future, no huduma.
mpaka nimekuja ujue nimefanya hayo ila hatak change

Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom