Maajabu ya mwanaume niliyenae

Maajabu ya mwanaume niliyenae

Nikifikiria kumridhisha mwanamke yananijia mawazo ya mzee mmoja tangu niko mtoto naskia anatafta rupia na mpaka leo nazeeka bado mzee anatafta rupia ,nahisi akizipata wanawake nao watakuwa watu wakuridhika
Usikute ni babu yangu unamsema,maana mpaka leo kapewa jina la Nusurupia.
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?

Nilikuhisi labda wewe ni dada G...

'Cause story yako inafanana na ya kwake.

Wanaume wa sampuli hiyo wapo sana. Anakuhudumia haswa,ila yale "mahaba"utaishia kuyaona kwenye tamthilia.
 
Baadhi ya wanaume ndivyo walivyo! Endelea naye tu labda kuna siku atagundua kama anakupenda na kukwambia ukweli, au labda hakupendi anapenda kukugegeda tu. Ila kajitoa kwako kwa kukuhudumia kwa kila kitu, imagine bila huduma yake maisha yako yangekuwaje.

Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
Mh! Eti unakazwa kisawasawa!!!?????... Acha mambo yako wewe, mwambie jamaa akupe mtaji ufanye biashara, sasa ngoja libume tuone kama utakula kukazwa.
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
sasa wewe ela unapewa, umepangiwa mahala pa kuishi, unakazwa vizuri sasa ni upendo upi unaoutaka??
 
Hitaji la kwanza la mwanamke katika uhusiano wa kimapenzi si pesa wala vitu
Acheni kumpotosha huyo sista nyie now anafanyiwa kila kitu, anaishi kwa ajili ya huyo jamaa town je yeye kwenye mapenzi yao kazi yake ni nn!? Inatakiwa yeye ndio ambembeleze, she must do her part ukizingatia mchizi ana fanya mengine yote ikiwemo kuhakikisha anamlisha.
 
Acheni kumpotosha huyo sista nyie now anafanyiwa kila kitu, anaishi kwa ajili ya huyo jamaa town je yeye kwenye mapenzi yao kazi yake ni nn!? Inatakiwa yeye ndio ambembeleze, she must do her part ukizingatia mchizi ana fanya mengine yote ikiwemo kuhakikisha anamlisha.
Ni kweli kabisa. Dada anatakiwa acheze part yake. Isijekuwa hata hampendi jamaa
 
Hawaridhikagi hawa viumbe

usikute kuna makungwi wa instagrama na watsaap group washaanza kumuingiza mkenge..
Asante sana kiongozi, wanawake wengi wameingia kwa hao makungwi wa Facebook na Insta mwisho wanaharibu wenye ndoa zao na mahusiano yao kwa mikono yako wenyewe kisha wanakuja hapa kulia lia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom