Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Usikute ni babu yangu unamsema,maana mpaka leo kapewa jina la Nusurupia.Nikifikiria kumridhisha mwanamke yananijia mawazo ya mzee mmoja tangu niko mtoto naskia anatafta rupia na mpaka leo nazeeka bado mzee anatafta rupia ,nahisi akizipata wanawake nao watakuwa watu wakuridhika