Maajabu ya mwanaume niliyenae

Maajabu ya mwanaume niliyenae

Ni kweli kabisa. Dada anatakiwa acheze part yake. Isijekuwa hata hampendi jamaa
Ukute ana mpenda ila si unajua pema ukipema si pema tena. Bina damu huwa wana angalia wasichi nacho halafu wana kitafuta.
Yeye kwa kuwa huwa haambiwo nimekumiss bas ni big deal kwake kwel kwel
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
Wanawake wengi wanashindwa kutofautisha kati ya mapenzi na mahaba.... any way jamaa anakupenda ila tu hana mahaba na wewe...
 
Hehee
Nacheka kama mazuri vile.
Sasa wewe kwa usawa huu wa anko magu matunzo yote unapata unashindwa kumpelekea hiyo papuchi kutwa mara tatu??? We shida ni akuambie amekumiss halafu asitoe matumizi au shida iko wapi


Thats cool!
 
Akili kubwa haiwezi kutawaliwa na akili ndogo. Kwanza umesema upo home tena mwenyewe unasema huyo jamaa anakulipia kodi halafu kila ukihitaji kupigwa mambo anakutumia nauli. Hujui unachosema na kwa haraka wewe hufanyiwi hivyo ila unawaza kwa mfano ikiwa hivyo. Ahahahahaaaa
Unajitamanisha nyau wewe
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
Hizo ndo mbinu za love sasa
 
Hamueleweki ttz lenu, kipi ni kipi. Mkipewa mahitaji bila tendo mnalalama hukufuata kula, hukipewa tendo mbona hunihudumii, Cjui shukrani yenu ipo wapi ktk maisha yenu
Tunataka vyote.
 
Mtu yupo bsy anatafuta hela ya kukuhudumia tena unalalamika! Wanawake nyie neenden mkaishi hk Jupita
Sasa mkuu tukienda jupiter mjue mtatumiss sana!! Umuhimu wa kitu/mtu huonekana pale ki/asipokuwepo
 
Na tukichepuka msilalamike basi na kudai hatujui tukitakacho wakati tunajua ndio maana tunakitafuta.
Nyie ndio hamjui mtakacho kama unataka kitu a mbacho sina so wehu huo?
Ulifata nn sasa kama sina
 
Twende mbele turudi Nyumba kuna kitu kinaitwa "AFFECTION" T matters the most to women n that's y wengi tumeshangazwa na kumuona Dada hana akili but assume huyu Dada anapata kazi na kujiweza kiuchumi do u think huo uhusiano utaendelea?ts likely utakua na Dada atafall kwa MTU asiye na mbele wala nyuma n that's how t is
Thank you my dear
 
Nyie ndio hamjui mtakacho kama unataka kitu a mbacho sina so wehu huo?
Ulifata nn sasa kama sina
Sio wehu, nilikuja nikijua nitavipata vyote, kumbe huna vyote, basi ndio ninaamua kutafuta vile usivyonavyo.
 
Ananjia nyingine anayofaidika na wewe sio ngono, ukijakustuka tu anajilipumba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom