- Thread starter
- #201
jamaniiiiWenzako wanalilia kuhudumiwa we unalilia kupetiwa, vitu vingne havtakag ujuaj
jamaniiiiWenzako wanalilia kuhudumiwa we unalilia kupetiwa, vitu vingne havtakag ujuaj
howHawaridhikagi hawa viumbe
usikute kuna makungwi wa instagrama na watsaap group washaanza kumuingiza mkenge..
kua mkArim basHuna kazi
Uko nyumbani
Unakazwa....
Unataka udekezwe dekezwe!!![]()
bothMbona hamueleweki.. Mnataka maneno matam ama vitendo
okUnataka nini wewe haswaaa?Kama anakuhudumia kila kitu na wewe ni wajibu wako kumtimizia haja zake sio kila kitu lazima aseme yeye
u are the best![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
girls bhaana!! sa kama mtu anakupa quantitative caring zote izo kasoro ka qualitative caring cha kukupetipeti tu una doubt upendo wake!!?? daahhh nouma sana.... but i can deduct that may be he is so busy so take it easy. But take this "If he don't love you the way you want doesn't mean he don't love you at all".
MIND of kings.
vyoteAnakufanyia yote hayo na bado unahisi haitoshi, je wewe unamfanyia nini kustahili kuhoji zaidi??
EXACTLYUpande mwingine wa shilingi ni muhimu tena sana.
Otherwise huyu dada akija kupata kazi nzuri na kujiweza kiuchumi yuko likely kumuacha jamaa.
Hitaji la kwanza la mwanamke katika uhusiano wa kimapenzi si pesa wala vitu
pia inaleta senseAna wanawake wengi na anahudumia wote.
So ukienda anakukaza kisawasawa ili kukuondo mahamu. Ukiondoka anapiga mwingine nae anakazwa kisawasawa.
Huyo jamaa ni mkazaji kisawasawa na muhongaji mzuri so ukiwa nae enjoy ukiondoka acha wengine wafaudu.
mbona unahasira?.Wewe unatumiwa tu kama misukule ya Lumumba
Muda wowote utatapikwa.
We subiri tu.
sijui ataMalengo yenu vipi?
ni kweli dearAnampetipeti mkewe, wewe utasubiri sana
Ndoumeamua uje unisemee hum?...basi kuanzia leo nitakutimizia hayo unayohitaji





okFanya maisha kuwa raisi sawa tafuta na ww wa kukupetpet.Huyo jamaaa kama alivyokufanya waziada na ww mfanye wa zalula,kifup anamtu anaye deal naye sana ww nikama bahat mbaya vile basi tafuta wako wabahat nzur maisha yaende. PENZI LENU LILISHACHOKAGA
howHakuna aliyeniambia...
Pesa ina nafasi yake. Lakini si hitaji la kwanza la mwanamke katika uhusiano wa kimapenzi.
First thing first....
Ila mtoa mada naye kuna sehemu katika maelezo yake haeleweki
okUkitaka mwenye kila unachotaka wanadai umuumbe mwenyewe
Ridhika tu na uliyenaye
y are you soo smart?....best comment so farKwa mwanamke ambaye yupo kimaslahi asingejali kutopetiwapetiwa na jamaa...mapenzi ni pamoja na maneno matamu yanayomfanya mtu ajisikie yuko juu..meseji/simu za i miss you/i love you/dirty talks.....zinaleta hamasa katika mapenzi lazima tukubali...ingekuwa ni huyo mwanaume ndo analalamika mngemshauri asepe hapendwi hapo.
Nionavyo mimi huyu jamaa anampenda kweli huyu binti ila sio mtu wa kujiexpress otherwise asingekuwa anamhudumia wakati huo huo asidemand sex.....cha muhimu dada akae nae wayaongee..love is all about communication
polePesa si hitaji la kwanza kwako wewe mwanamke ILA si wanawake.
ThanksMajority hawatakuelewa, but nimekuelewa vizuri! !!!
okWewe ni Nyumba ndogo ndo maana sikupetipeti. Siku mke wangu akininyima ndo naja kwako