Maajabu ya mwanaume niliyenae

Maajabu ya mwanaume niliyenae

Upande mwingine wa shilingi ni muhimu tena sana.
Otherwise huyu dada akija kupata kazi nzuri na kujiweza kiuchumi yuko likely kumuacha jamaa.

Hitaji la kwanza la mwanamke katika uhusiano wa kimapenzi si pesa wala vitu
Tutajie hilo hitaji la kwanza kwa mwanamke ni nini?
Je ni kwa kila mwanamke?
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
IMG-20170122-WA0005.jpg
wanawake mnamambo ya ajabu sana tena sana.
 
Anacheza na akili yako ili uwe unampapatikia asije kuumia kwa chochote tuliza akili fanya yako. Kama hajakukosea unachokonoa nini?
 
Mnataka mpaka mtu aseme anatafuta Bwana!!? Ndo muelewe...!
 
Twende mbele turudi Nyumba kuna kitu kinaitwa "AFFECTION" T matters the most to women n that's y wengi tumeshangazwa na kumuona Dada hana akili but assume huyu Dada anapata kazi na kujiweza kiuchumi do u think huo uhusiano utaendelea?ts likely utakua na Dada atafall kwa MTU asiye na mbele wala nyuma n that's how t is
 
Mkuu. Hukumsoma huyu bibie?

Major: kupetiwapetiwa, kuambiwa "I miss you beeb" etc

Minor: Kupewa matumizi yote mpaka vocha
Very minor: kuka.zwa
Unafikir jamaa angeanza na hyo major then mengne angekosa thread yake ingekuaje
 
Ye anatoa huduma,kupetipeti kazi yako,jidekeze udekezwe...
Usijemuacha uyo kaka..shikamana hapohapoo.,
 
Hehee
Nacheka kama mazuri vile.
Sasa wewe kwa usawa huu wa anko magu matunzo yote unapata unashindwa kumpelekea hiyo papuchi kutwa mara tatu??? We shida ni akuambie amekumiss halafu asitoe matumizi au shida iko wapi
 
I wish ningempata wa kunihudumia kila kitu kama ww hata nisingelalamika duuh
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?

1.kila kitu anakuhudumia
2.Ukienda anakupiga nao mjeredi hadi unakojoa bila kipimo
3.Ukiwa na hamu unamfuata bila hata kukataa
SASA unataka nn zaidi?Una asili ya uchawi au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom