Maajabu ya mwanaume niliyenae

Maajabu ya mwanaume niliyenae

Nitashangaa kama haujaona tatizo katika ulichoandika.
Kusema dunia ya sasa wanawake(umeongelea wote) wanataka material things tu unakosea, hata huyo anaetaka material things ukimchunguza utagundua hilo sio hitaji lake la kwanza, ila imebidi iwe hivyo baada ya kuona mauza uza tu mtu anaamua bora moyo usukume damu tu.

Kuhusu affection kuwa hitaji la kwanza haimaanishi ndilo hitaji pekee, umenipata? Kwahiyo kuhitaji material things ni hitaji linalofuata na ni la kila binadamu,then protection.
Madam we can take up whole night talking for this
Simple definition is you have what u believe as a woman and I have what I live into it as a man.
So definition of woman will take years for a man to understand
 
Aliyewaloga keshakufa, muendelee kuwa na akili zenu hizo tu mpaka kufa
 
Hawaridhikagi hawa viumbe

usikute kuna makungwi wa instagrama na watsaap group washaanza kumuingiza mkenge..
Wale huwa siwasomi kabisa mshumaa na chumvi na mkojo loh eti unasababisha mtu apendwe
 
Basi mvumilie tu maana hamna jinsi.
sometimes huwa manapanga kutukomoa tu, ndo maana tunakonda mawazo mengi njiani, uwazo pesa uwaze nikirudi nmfanyie hv hapo mtu unayemuwazia kakaa nyumbani ukirudi wengine hata maji ya kuoga hawakuwekei
 
Acha ubwege wewe ushakutana na mangapi katika maisha eti kisa anaolewa mmh mbna wengi wanawake nchi hii kibubwa jaribu kuzoea matatizo itakusaidia
 
Waambie hao...they think love needs material things,,wakati udhaifu wa mwanamke upo maskioni..!
Udhaif wa mwanamke uko wap!!!!! Unamzungumzia mwanamke wa kihind, kigirik, kipalestina au wakiTz?
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
Kwa uandishi huo, nina wasi wasi na elimu yako.
 
Hawaridhikagi hawa viumbe

usikute kuna makungwi wa instagrama na watsaap group washaanza kumuingiza mkenge..
Sure bloo

Ukimkipiga front tu kwa ustaarabu bado atalalamika kwamba unakula upande m1 wa samaki
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?

Kama unaongea kama mwandiko wako hapo
Ndio maana hakupetipeti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom