Maajabu ya mwanaume niliyenae

Maajabu ya mwanaume niliyenae

Jina lenyewe anaitwa memez unadhani atakuwa na akili timamu
ww nimpumbavu.....kama huna la kuchangia piga kimya....ukadham mtu ataweka id yake ya ukwel...nokia tochi ww
 
Vitu vingine vina jieleza vyenyewe kama mtu ana weza kukupa mahitaji yako yote kwanini asiwe ana kupenda? Na ujuwe kuna aina hiyo ya wanaume wagumu kuonyesha hisia zao ila utaona kwa vitendo angalia usije kuwa una chezea shillingi chooni kisa kupetiwa
 
Upande mwingine wa shilingi ni muhimu tena sana.
Otherwise huyu dada akija kupata kazi nzuri na kujiweza kiuchumi yuko likely kumuacha jamaa.

Hitaji la kwanza la mwanamke katika uhusiano wa kimapenzi si pesa wala vitu
Wewe wasema,....sema pesa sio priority Kwako....
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
Sasa unataka nini tena zaidi ya hapo BOLDED
 
Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
Umeeleweka,lkn huo uandishi wako aisee!
Hakuna herufi kubwa mwanzo wa sentensi,vituo kila mahala,maneno mengine hayajakamilika,tatizo nini?itendee haki elimu yako ndugu😀
 
tafuta wa kukupet peti.........wanawake bana....mnataka nini jamani????😎😎
 
Hawaridhikagi hawa viumbe

usikute kuna makungwi wa instagrama na watsaap group washaanza kumuingiza mkenge..

Mkuu The Boss kweli umenena. Hawa viumbe kwa kweli ni wa ajabu sana hasa hawa waliosoma kwenye hivi vyuo vyetu! Ni vigumu kufahamu hasa anataka nn!!! Unaweza ukaongea naye ukajua mmeelewana sasa ngoja aende akachukue ushauri kwa wenzake huko. Yaani akirudi siyo yule.
 
Kikubwa anakuhudumia kila unachotaka anakupa hivyo vingine achana navyo tu, angekua hakupendi sidhan kama angekua anatimiza vyote.
 
Tabia ya MTU... wengine hawajui mahaba ,tena ni wengi tu hawajui mahaba! Ila wanakuaga na upendo wa kweli na huduma za haja
Ila tu hawaja yapa mapenzi kipaumbele!

na wengine huwa wako katika research zao
wengine wana nia zao Fulani
..
mwingine ndivyo alivo!
mwingine kisirani tu!!!
Mimi niliwahi kidate nae Ila yeye alikua ananimiss ananiiita to ,haongei Sana! unaweza kaa nae asikusemeshe.
tukaja kuachana kawaida tu..

cha kufanya mchunguze tu au muulize
 
Me nilijua wewe ndiyo ungekuwa unampeti ili aendelee kukukumbuka zaidi, kumbe na wewe bado unataka akupeti???
Haya naona unataka tukuambie chepuka na serengeti Boys endeleaaaaaa
 
Habari zenu wana JamiiForums,

Jamani leo nimekuja na stori inayonihusu, inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no job, sasa jamani tangu nikutane nae ni 2 years sasa ananihudumia kwa kila kitu mpaka credit jamani.

Kanipangia na analipa kodi na matumizi yote napata ila haniambiagi ananipenda wala kanimiss au kamiss mashamsham yangu hadi nimwambie ninahamu nae ndipo atume nauli ndio niende na ananikaza kisawasawa nikienda.

Sasa nimweleweje kuna upendo apo?

Matumizi yote napata ila hanipeti peti nimweleweje?


Dada si unajua kwamba Penzi haligawanyiki. So!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom