Ma-super star wa jf...!!

Ma-super star wa jf...!!

Buji buji kabisa nyie Source: Tusi la JF (lol)

Nimepita hapa Source: Mamndenyi

JF is never Boring Source: The Boss

Pamoja Saana Source: AshaDii

I love you guys...
Wooote mlopita humu na kunitaja,
naahidi nitasoma kila post nikipata mda Source: ME

Na logoff Source: Washawasha.
.

Dada umenionaee,
hongera kaka zako wamesema uko maternity leave,
kila la kheri.

Nimepita hapa.
 
Maandishi yenyewe ya kichina sijaelewa kitu
Hapo najikumbushia enzi zangu za kupiga saundi! mtaani walikuwa wananikoma...mdomo ulikuwa mwepesii, utu uzima huu na mujukumu umenifanya domo zege!
 
Wa kwangu kiasi ( list ni ndefu sana)
AshaDii ( I L......... U)
Mama Tuli ( my wife wangu)
Dena( jitangazie mwenyewe)
Smile (mhhhh naogopa kusema )
Sweetlady (TF namuogopa sana)
Bebii
MJ1
Cantalisia
Gaijin
Gaga
Chauro
Husninyo
FeisBuk
Nyamayao
Preta
Afro Denzi
The Finest (PA pamoja sana viwanja kwa sana)
The Boss
Journe ( kwa mrombo lini aise)
Rejao (mzee wa jukwaa la stress)
Kloro (lawyer nina kesi unatakiwa unisimamie)
Asprin(Babu heshima mbele)
Funzadume( Mhhh naogopa kulitaja lile jukwaa maarufu)
Kibweka
Kibanga
Lizzy
Russian
Kaizer
Katavi
Mtambuzi
Mamndenyi
King'asti
Kimey
Fidel
Pj
Baba Enock
Teamo
Mzee wa Rula
Bishop Hiluka
Excellent (jukwaa la vichekesho)
MTM
Voice of reason


.................................list inaendelea

Asante Mkuu Mr.Rocky,
udumu milele Mkuu.
 
Hapo najikumbushia enzi zangu za kupiga saundi! mtaani walikuwa wananikoma...mdomo ulikuwa mwepesii, utu uzima huu na mujukumu umenifanya domo zege!

Kweli utu uzima dawa kaka
Enzi hizo ulikuwa unamwaga sound mpaka unajiuliza haya maneno yanatoka wapi
Kila mahali ilikuwa ni moto mbaya
Ila utu uzima na majukumu yanakaba vibaya na mwishoni unajiuliza hivi naenda kutafuta nini huko
 
Back
Top Bottom