Siku hizi watoto wanatupenda wazee wazima..wanakuwa na uhakika wa maisha! vijana wasumbufu tu! Huoni smile kafa kaoza?Sio kubana naona unataka kutuharibia watoto weye mzee mzima (Lakini Smile alikubali kuwa nyumba ndogo kazi kwako)
Wanawake wengi wanapendwa kudanganywa...Mwanaume kwa uongo wewe sikuwezi mie
Hujaona sredi ya smile? full kufagilia vibabu! dogodogo hataki kabsaaa!Nani anataka mimvi yake bana..................
Feis buku imekuwaje tena? mbona unaaza kugeuza kibao? Huyo tayari ana wake..lolrocky nataka nianzishe uzi wa kukulilia kama wa mdada aliefunguka kwa exellent!! nambie kama u tayari mwee!!!
Na wewe mbona unakaba sana??Wewewe! Ishia hapo hapo usimguse kabisa. Huyo si Rejao
Nyie vikongwe kitu gani kinaendelea hapa Mweeh!
Ahsante sana Mamndenyi.kwa leo my-super-stars hawa hapa:
Asprin
Feisbuku,
Mtambuzi,
Ashadii,
Manyanza,
Rejao (Mkwe mtarajiwa)
Uporoto,
DenaAmsi,
Jmushi1,
MamaKubwa.
Naona hicho kifungo ulichokuwepo hakijakutosha unataka kurudi huko huko
kwa leo my-super-stars hawa hapa:
Feisbuku,
Mtambuzi,
Ashadii,
Manyanza,
Rejao (Mkwe mtarajiwa)
Uporoto,
DenaAmsi,
Jmushi1,
MamaKubwa.
kwa leo my-super-stars hawa hapa:
Feisbuku,
Mtambuzi,
Ashadii,
Manyanza,
Rejao (Mkwe mtarajiwa)
Uporoto,
DenaAmsi,
Jmushi1,
MamaKubwa.
Ahsante sana Mamndenyi.
Ubarikiwe sana.
nani sikutaki tena byeee mimi na manyaza sasa kijana anajua malavidavi sijui wa tanga
hahaaa haaaaa, acha wivu nataka kutoka na mtoto Smile
hahaa haaa mpe sure huyo Kikongwe, mimi ni wa Rocky city
Yaani huyu huyu ninayemfahamu au mwingine? nenda...utarudi tu kunililia,,Mr. Rocky shahidi!
mhhh wapi wewe wakati umetoka ludewa huko
Imekula kwako sasa hivi kashakimbilia kwa Boss
Hhaaaa haaaaa haya kaka naona unataka kuniharibia kwa mtoto Smile
Duh! wewe ndio speaker wake?
Ha ha ha ha na leo umesahaulika ukome kujipendekeza
Si unaonaee,
halafu anajiingiza kwa ju kwa ju.
makubwa!! my DA vp tena jamani!!Shindwa ktk jina la yesu