Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,276
Hahaha dena wewe! Tripple A katuachia masupa staa bana, amegundua yeye sio!
Bold and Underline
Siongezi neno nitaharibu
Hahaha dena wewe! Tripple A katuachia masupa staa bana, amegundua yeye sio!
AshaDii nimekumiss mbaya
Mzima wewe
Ngoja Mama Tuli aje aone hapa sijui utajibu nini
R' Nimeku MISS pia.... Mzima wewe??
Tena Husny nimem-Miss huyu Mtoto jamani sijui yukwap??
Nimefunika na karatasi hataona kabisa
Wifi uliondoka bila kuniaga wakati wajua ni jinsi gani navyokupenda... Nimeponea chupu chupu kujitoa jf kwasababu nilikuwa sikuoni bana!..
Mzima dear za kwako wewe
Niko salama kabisa
Umepotea sana aise
Ha ha ha mbaya zaidi nimeshaiquote sijui ni delete au huogopi
Mambo yalibana but sasa nipo pouwa... Na back AGAIN at JF....
Ngoja na mimi nidandie hapa...mmeniacha kwa masaa kadhaa!Karibu sana aise
tupo na hii siredi ya super star wa JF
PA simuoni sijui kashakula miguu ya kuku
Ngoja na mimi nidandie hapa...mmeniacha kwa masaa kadhaa!
Asante sana Mamndenyi, am so happy kwa kunipaisha!Naleta list yangu mpya:
MziziMkavu, Sweetlady, Cantalisia, Lizzy, Sizinga, Mtambuzi,Afrodenzi,FreemaAgyeman, Gaijin, Asprin + Feisbuku,
Theboss,Memo, The finest, Mwita25, DenaAmsi,Katabi, King'asti, Kongosho, Mwanamayum Marytina, Kigandu, BAK, Ndyoko,
Nzowa Godat, Tigger, Siumti.
nawasilisha.
mi lov u too cantalisia..Asante sana Mamndenyi, am so happy kwa kunipaisha!
Me lov u sana lol!
Funika maandishi yako bana na wino mweusi
Asije akayaona
hahaah...asante kwa kunisaidia...alikuwa amenishika pabaya!
Karibu sana aise
tupo na hii siredi ya super star wa JF
PA simuoni sijui kashakula miguu ya kuku
mi lov u too cantalisia..
halafu jina lako gumu...hata kulitamka nimeshindwa!
Asante sana Mamndenyi, am so happy kwa kunipaisha!
Me lov u sana lol!
ulishikwa nyeti nini bro??