Ma-super star wa jf...!!

Ma-super star wa jf...!!

hahaha! Umeonae? Ila kule pamenifanya nijifunze mambo mengi sana, nzuri zaidi nilijiapiza siku nikitoka lazima rejao awe my best friend wa jf manake bila yeye pia nisingeweza kujifunza hayo niliyo yajifunza...



Akitokea mtu kutuchonganisha mwambie ashindwe na alegee kabisa... Hakunaga zaidi yangu mimi na wewe, yaan hakunaga!
daaah nalog off forever
 
Siamini kama haya maneno yanatoka kwako aisee........nilkuwa sijui kama hunipendi kiasi hiki (Sio siri roho imeniuma kiukweli kweli)

Ndio, manake naona muda wote unakwaruzana na Babu tu, utamuua kwa presha....umri wake uliobakia amekopa halafu we huishi kukwaruzana nae...nafawatilia kwa karibu sana we DA
 
"Like" hazionekani jamani kwenye screen yangu hapa
 
Ndio, manake naona muda wote unakwaruzana na Babu tu, utamuua kwa presha....umri wake uliobakia amekopa halafu we huishi kukwaruzana nae...nafawatilia kwa karibu sana we DA


SAVE WATER, DRINK BEER Source Sizinga
 
Back
Top Bottom