- Thread starter
- #21
Logic ni kufundisha elimu ya uraiya na kutafuta mtaji mkubwa wa kura z 2015, hatuvizii bali tunajitokeza mapema coz tuna bonafide.
Elimu ya uraia ingeweza kutolewa kwa approach nyingine sio hii ya M4C..kwa kufanya hivyo utakua unatumia silaha kubwa kwa swala mdogo....utakubaliana na mm M4C ingetumika vzr ndio ingesaidia CDM kushika dola...so what next after M4C..kuna silaha kubwa zaidi ya hii ya kuchange mind za watu kwa maana ya wingi wao?
Khs kutafuta mtaji wa 2015 sikubaliani na wewe kbs...,mtaji wa CDM hautokani na kutafutwa na wao unatokana na udhaifu wa CCM kutoshughulikia kero za wananchi na kutotambua viongozi bora badala yake wanachukua bora kiongozi kwa faida ya mitandao yao ndani ya chama. matokeo yake hata wazuri wa CCM ndio wanakuja CDM ebu niambie ni nani wa CDM ambaye hakupitia CCM akabaniwa ndio akasepea CDM??/