Yetu Macho
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 224
- 34
mtazamo dhaifu kimkakati huu ni wakati sahihi kuliko wakati wote.. wakati ambapo watanzania wamepigika na kuomba kilakukicha kupata wakuwasemea moto utakaodumu kwa muda zaidi utateketeza zaidi kuliko moto wa muda mfupi. M4C ni moja ya mikakati kuelekea kuchukua dola.. hii ni kama tulivyoanza na operation sangara na leo tunaona lake zone kuna nini.. mikakati yaja na kuanzia sasa mpaka uchaguzi gamba halitapumua.Nadiriki kusema M4C na
gwanda operation ya chadema ni starategy nzuri lakini wamekosea
mahesabu...
Hii ilitakiwa kuanza si chini ya mwaka mmoja na nusu au mmoja kabla ya
2015. CCM kama wanaweza kutumia udhaifu huu basi ndio itakua mwisho wa
CDM...lkn kama wataendelea na propoganda na kuuza zura kwenye media bila
kupambana basi ndio hali si swali tena.
Source=Nilivyoona jangwani leo.