Nadiriki kusema M4C na gwanda operation ya chadema ni starategy nzuri lakini wamekosea mahesabu...
Hii ilitakiwa kuanza si chini ya mwaka mmoja na nusu au mmoja kabla ya 2015. CCM kama wanaweza kutumia udhaifu huu basi ndio itakua mwisho wa CDM...lkn kama wataendelea na propoganda na kuuza zura kwenye media bila kupambana basi ndio hali si swali tena.
Source=Nilivyoona jangwani leo.
Hii ilitakiwa kuanza si chini ya mwaka mmoja na nusu au mmoja kabla ya 2015. CCM kama wanaweza kutumia udhaifu huu basi ndio itakua mwisho wa CDM...lkn kama wataendelea na propoganda na kuuza zura kwenye media bila kupambana basi ndio hali si swali tena.
Source=Nilivyoona jangwani leo.