M23 yaua wanajeshi 3 wa Tanzania huko Goma DRC

Hutaki hiyo tafasiri.
Tafasiri yako ichukuliwe kwa Tahadhari-sio kwamba siitaki, nakataaje maoni yako?
Jana PK kaulizwa kama anaunga mkono M23 akajibu haoni sababu ya kutowaunga mkono.

Thats means anawaunga mkono.

Hivyo tafasiri ni kutokana na maneno ya PK.

Kama M23 ni nduguzo waambie waache kuuwa raia wa DRC. Africa tumechoka vita za Watutsi.

Tangu na tangu kila vita lazima mshiriki mnauwa maras na marais. Zama na zama

Sent from my A002SH using JamiiForums mobile app
Mkuu suala hili ni very complex na naamini unajua hilo, Fika.

Tatizo langu ni hizi lugha za Uchonganishi na Kwanini Watanzania waingizwe kwenye Vita hii. Hypothetically, Watanzania watatu wamekufa(God rest their soul) Tunaingia Kumchapa Kagame-then what? Mitafaruku ya Congo inaisha? au za Tutsi na Hutu? Sidhani.
 
Kwahiyo ni nani analipa hizi Familia za Wanajeshi wetu? SADC? DRC? au Chama cha Tishekedi?

Vijana wetu wanafia nini kwenye Foreign Wars?

Maswali ni mengi sana na Wajinga ni wengi.

Hii habari nimeiona kwenye BBC Kiswahili TV.
 
Ukishambulia peacekeepers wana right ya kujilinda, kama wanadhani walipoweka kambi sio salama shurti ku-neutralise athari.

M23 kwa kurusha hilo kombora wamewapa kibali SADC kutumia silaa dhidi yao na aitokuwa mara ya kwanza kusikia mziki wao.

Shida ya hawa watu kudhania wana nguvu kweli za kijeshi, wakati strategically Tanzania ina uwezo wa kukata supply ya chakula na mafuta kote Rwanda na Goma; kikafuata kichapo cha muda mfupi hawana pa kukimbilia magari hayana mafuta huku wananchi njaa.
Rahisi kuandika kwa smartphone!
 
Kwahiyo ni nani analipa hizi Familia za Wanajeshi wetu? SADC? DRC? au Chama cha Tishekedi?
Nadhani inategemea hao M23 wamo kwenye makundi gani ya Mitafaruku kwa "Wenye Interest zao" huko. Mfano kama wanajulikana kama "Magaidi" na State Department au UN basi ni Wazungu. Bila ya kusahau, na biashara haramu ya Dhahabu na Madini mengine ya thamani-Wanunuzi ikiwa ni Waarabu, Wahindi, Wazungu n.k Ama?
Vijana wetu wanafia nini kwenye Foreign Wars?
Umoja ni nguvu?
Maswali ni mengi sana na Wajinga ni wengi.
Umo kwenye kundi gani?
Hii habari nimeiona kwenye BBC Kiswahili TV.
🤔
 
Hutaki hiyo tafasiri. Jana PK kaulizwa kama anaunga mkono M23 akajibu haoni sababu ya kutowaunga mkono. Thats means anawaunga mkono.

Hivyo tafasiri ni kutokana na maneno ya PK.

Kama M23 ni nduguzo waambie waache kuuwa raia wa DRC. Africa tumechoka vita za Watutsi.

Tangu na tangu kila vita lazima mshiriki mnauwa maras na marais. Zama na zama


Sent from my A002SH using JamiiForums mobile app
Kibarango kweli kibarango kama jina lako, Kwanza story zako siku zote ni za uchonganishi hususa ni kwenye Suala lolote linalohusu Rwanda na Kagame, I am sure una sababu zako binafsi na wala sio huruma uliyo nayo kwa Raia wa Congo. Kwa taarifa yako hata hao M23 ni Raia wa Congo lakini najua wewe hilo hulitaki, wanapigania nini? Baba zao na Mama zao wako kwenya kambi za wakimbizi kwa muda wa miaka 25 sasa, wengi wao wako Uganda, Rwanda na Kenya. Kwanini wako ukimbizini miaka yote hiyo, wamefukuzwa huko kwao na jeshi la serikali kwa kushirikiana na FDLR.
Statement ya Kagame jana hukumuelewa hata kidogo labda kwa uwezo wako mdogo wa kuelewa ni kitu gani amesema au ni kujishaua tu kwa sababu zako za siku zote. Amekufafanulia kwa nini hate wewe usiwaunge mkono hawa raia wa Congo waliofukuzwa kwenye ardhi ya mababu zao kwa sababu tu rugha wanayo tumia ni Kinyarwanda rejerea historia kwanini hawa watu wanapatikana kwenye hili eneo la mashariki ya Congo? Jibu lake Mwl. Nyerere alizungumzia hili, Thabo Mbeki alifafanua hili na watu wengine wengi tu.
 
Kwa Ufupi Majeshi ya SADC kwa kushirikiana na majeshi ya DRC ni kwamba wanashirikiana moja kwa moja na FDLR, hawa FDLR ndio hao waliofanya Genocide Rwanda ndio hao waliowafukuza Raia wa Congo waliojazana kwenya makambi ya wakimbizi ndani ya Uganda, Rwanda, Kenya na sehemu nyingine Duniani ambao ndio wazazi wa hawa vijana wa M23. Kwa taarifa hawa wakimbizi ndio source/supply ya vijana wanokwenda vitani. Hawana kazi nyingine kwenye makambi so ni rahisi sana kujiunga na vita, mbaya zaidi wana sababu na nia imara kabisa kwani wana nyanyasika wakati wana ardhi yao nzuri tu amayo wamyenyanganywa na kufukuzwa na Serikali yao. Kwa hiyo hata ukiwamaliza hawa m23 wote leo kesho watakuja wengine. Kwani hawa wakimbizi mpaka leo wako 500k Uganda, 150k Rwanda, 50k Kenya na zaid ya 300k sehemu mbalimbali duniani, wengine wako hata kwenye national service ya USA na Canada. So wanaopeleka majeshi kupambana na M23 wawe tayari kwani hawa vijana wako kwao and they have nothing to lose
 
Majina hayajatajwa.

Ikumbukwe jana Rais wa Rwanda Bw Kagame amekuri kuwa anawaumga mkono waasi wa M23 kwa kusema haoni sababu ya kuwapinga waasi hao.

Hivyo kwa tafasiri ni kuwa Wanajeshi wa Rwanda wamewauwa wanajeshi wa Tanzania huko DRC.

=====

Wanajeshi watatu wa Tanzania wameuawa kwenye shambulio la kombora lililotokea katika Mji wa Kivu ulio Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Jumuiya ya Ushirikiano ya SADC imethibitisha habari hizo kupitia tovuti yake.

Taarifa ya SADC iliyowekwa kwenye akaunti yake ya mtandao wa X (zamani Twitter) ,ilisema katika shambulio hilo la kombora, wanajeshi wengine watatu wa Tanzania walijeruhiwa.

Askari wa Tanzania ni sehemu ya Kikosi cha SADC kilichopelekwa Mashariki mwa DRC kwaajili ya kulinda amani ikijumuisha pia nchi za Malawi na Afrika Kusini.

View attachment 2957891

Sent from my A002SH using JamiiForums mobile app
Hey
 

Attachments

  • Screenshot_2024-04-08-22-58-10-452_com.facebook.katana.jpg
    Screenshot_2024-04-08-22-58-10-452_com.facebook.katana.jpg
    577.9 KB · Views: 4
Kwa Ufupi Majeshi ya SADC kwa kushirikiana na majeshi ya DRC ni kwamba wanashirikiana moja kwa moja na FDLR, hawa FDLR ndio hao waliofanya Genocide Rwanda ndio hao waliowafukuza Raia wa Congo waliojazana kwenya makambi ya wakimbizi ndani ya Uganda, Rwanda, Kenya na sehemu nyingine Duniani ambao ndio wazazi wa hawa vijana wa M23. Kwa taarifa hawa wakimbizi ndio source/supply ya vijana wanokwenda vitani. Hawana kazi nyingine kwenye makambi so ni rahisi sana kujiunga na vita, mbaya zaidi wana sababu na nia imara kabisa kwani wana nyanyasika wakati wana ardhi yao nzuri tu amayo wamyenyanganywa na kufukuzwa na Serikali yao. Kwa hiyo hata ukiwamaliza hawa m23 wote leo kesho watakuja wengine. Kwani hawa wakimbizi mpaka leo wako 500k Uganda, 150k Rwanda, 50k Kenya na zaid ya 300k sehemu mbalimbali duniani, wengine wako hata kwenye national service ya USA na Canada. So wanaopeleka majeshi kupambana na M23 wawe tayari kwani hawa vijana wako kwao and they have nothing to lose
Ni uzembe wa mobutu kuwaacha banyamulenge waliokimbia vita kipindi cha habyarimana free ndio maana leo hii na wao wanajiita wacongo lkn ni kimaslahi tu huku wakijua warwanda wakimbizi kama wakimbizi wengine tu,benaco pale kuna wakimbjzi wamezaliwa pale na hadi kutaka kupata wajukuu wakiwa pale pale ila bado wanajijua si wa TZ
 
Amani haitapatikana DRC kwa makombora, wakae chini wayamalize kama ilivyofanyika Sudan Kusini, leo hii kule wanaishi kwa amani na kuiboresha nchi yao. Pande zote zilisikilizwa na kuingizwa serikalini wakawa kimoja.
DRC makombora yamepigwa kwa miaka mingi tu, na bado ni mtifuano maporini.
 
Hii vita haituhusu sisi,Congolese wameamua kuuwana wenyewe tuwaache,hivi ukiwauliza simple question why wanapigana vita sidhani kama wana jibu,rudisha wanajeshi wetu waje walinde hizi porous borders zetu,Mozambique border kuna shida na jeshi la SADC linaondoka,naona RAF wana ichukua vita hii,sisi to hold line yetu ili hii vita isienee kwetu
 
Back
Top Bottom