This is not true mkuu,sisi tunatakiwa to hold our line basi (tulinde borders zetu),tumejitolea sana hapa Africa na hakuna tulichokipata,tumejitia umasikini tu,wale soldiers wetu walitakiwa wafe wakipigania TanzaniaShida ya hii vita iko at our door steps, ni security threat, either tu deal nayo leo or in the future tuingie kwneye conflict kubwa zaidi
Mbona mnapenda kusifia Sana wanyarwanda Wana kitu hasa eti jeshi la Tanzania nusu ni wanyarwandaKama siyo nusu ya wanajeshi wa Tanzania ama robo ni wanyarwanda na viongozi wengi wa Tanzania kwa sasa ni wanyarwanda kazi hipo yetu macho
Ni kweli Mkuu nakubaliana na hisia zako.Nmekuelewa mkuu,( vry sorry)
But Tuna pata hisia Kali kuhusu haya mambo hayaaishi tu toka ninakua yapo till now.
Hii inaumiza sana kua watz wanakufa Bila hatia.
Naunga mkono Hoja 😍🙏🏼Amani haitapatikana DRC kwa makombora, wakae chini wayamalize kama ilivyofanyika Sudan Kusini, leo hii kule wanaishi kwa amani na kuiboresha nchi yao. Pande zote zilisikilizwa na kuingizwa serikalini wakawa kimoja.
DRC makombora yamepigwa kwa miaka mingi tu, na bado ni mtifuano maporini.
Muongo huyu jamaaa kwanza s angeleta Uzi kusema lini kagame ametamka hayo manenoAcha habari za umbea,ni lini Kagame aliwahi sema anawaunga mkono M23???
Exactly kbsa lipo jeshi la Malawi ,south Africa ,na Tanzania pmj na munisco ,frdcHalafu huwezi tumia lugha eti M23 wawaua wanajeshi 3 wa Tanzania,huko kuna jeshi la Tanzania +la South Afrika na wamekwenda kwa mwambuli wa SADC ingekuwa vyema kutumia neno kuwa Wanajeshi 3 wa kikosi cha Tanzania kinachowakilisha SADC kilichopo DRC wauwaawa
Ni wanani?M23 sio wacongo
Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kaliongelea hili jambo kwa ufasaha zaidi kipindi cha uhai wake, na kwa Mtu kuja kubisha kwa sentensi moja don't waste your time kumjibu.Ni wanani?
Too lateHii ndio shida ya kutokuwa makini na majitu ya mipakani. Yanavuka mipaka na kuja kujichanganya raia wa taifa letu yanajifanya ni matanzania ila roho zao za hovyo tunayashtukia.
Watanzania hawapendi ugomvi wala vita yenyewe sasa huwa yana washwawashwa muda wote kusikia milipuko, hayana upendo, ni visiriani na mafitini.
Raia mripoti majitu ambayo mnayatilia mashaka kuwa sio raia wa asili ya Tanzania kwa kuzaliwa. Sio kwasababu mtu anaongea kiswahili basi mtanzania.
Raia tuna wajibu wa kulinda taifa letu.
We jamaa unachopinga nini hasa mbona hueleweki?Tafasiri yako ichukuliwe kwa Tahadhari-sio kwamba siitaki, nakataaje maoni yako?
Mkuu suala hili ni very complex na naamini unajua hilo, Fika.
Tatizo langu ni hizi lugha za Uchonganishi na Kwanini Watanzania waingizwe kwenye Vita hii. Hypothetically, Watanzania watatu wamekufa(God rest their soul) Tunaingia Kumchapa Kagame-then what? Mitafaruku ya Congo inaisha? au za Tutsi na Hutu? Sidhani.
Tokea mwanzo Mandate ya SADC Force ilikuwa ni ya kimagumashi na ni rahisi kwa FLDR kuchukua advantage na kujikuta Jeshi letu likipigana Bega kwa Bega na Interahamwe Millitias.Kitu kisicho julikana Jeshi la SADEC limezuiwa kupiga vita na American
Jeshi la SADEC wanatoa msaada tu vifaa
Baada ya Jeshi la Tanzania kufanya mashambuliza , M23 wakapeleka malalamiko UN kwa kuandika barua.
Maamuzi yalifanyika SADEC wamezuiawa kupigana Vita
Acha upuuziAlooh nmestuka, hivi hua wanafata kitu gan huko au ndo uzalendo kinyesi.
Wenyewe wako Bize na Brand Mpya Mpya za Albam zinazobamba kwa Rumba Music.R.I.P. makamanda wetu, M23 ni cha mda mrefu, kunawatu wanachichea ili waendelee kuchota mali. Wa Congo inabidi waelewe hili amani hailetwi na mtu wa nje
Upuuuz niwakwakoAcha upuuzi