JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Afrika Kusini itatuma wanajeshi 2,900, kama sehemu ya mchango wake kwa kikosi cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kinachotarajiwa kukabiliana na makundi yenye silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ofisi ya rais Cyril Ramaphosa, ilisema katika taarifa yake Jumatatu.
Operesheni hiyo ya mwaka mmoja ni ya kati ya Desemba 15, mwaka 2023 na Desemba 15, mwaka huu, na itagharimu takriban dola za Marekani milioni 105.75, ilisema taarifa hiyo.
SADC, yenye nchi wanachama 16, iliidhinisha vikosi kutumwa mashariki mwa Kongo mwezi Mei mwaka jana, kusaidia nchi hiyo, msambazaji mkuu wa cobalt duniani na mzalishaji mkuu wa shaba barani Afrika, kukabiliana na hali ya kukosekana kwa utulivu na kuzorota kwa usalama katika eneo la mashariki.
Miongo kadhaa ya migogoro mashariki mwa DRC, kati ya makundi hasimu yenye silaha, yakizozania ardhi na rasilimali, imepelekea vifo vya mamia ya maelfu ya watu na kusababisha zaidi ya watu milioni 7 kufurushwa makwao.
Kikosi cha SADC kinajumuisha wanajeshi kutoka Malawi, Afrika Kusini na Tanzania. Kutumwa huko kunajiri wakati Kongo inapambana na waasi wa M23 wanaoongozwa na Watutsi, ambao mashambulizi yao katika siku za hivi karibuni, yanatishia mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, Goma.
===
South Africa to deploy 2,900 soldiers to DR Congo
South Africa's President Cyril Ramaphosa has ordered the deployment of 2,900 soldiers to aid in the fight against armed rebel groups in the eastern Democratic Republic of Congo.
The troops will be posted as part of the southern African mission in DR Congo (SAMIDRC), which was approved by the regional bloc in May last year.
Malawi and Tanzania will also contribute troops to the mission.
The mission is replacing the East African regional force, which left DR Congo last December after the government deemed it ineffective.
The deployment will cost South Africa 2bn Rand ($105m; £83m) and is set to last until December this year, a statement from the presidency said.
The announcement comes amid a resurgence of fighting that has seen tens of thousands displaced, added to the nearly seven million who have been forced from their homes in DR Congo because of multiple conflicts.
Source: BBC
Operesheni hiyo ya mwaka mmoja ni ya kati ya Desemba 15, mwaka 2023 na Desemba 15, mwaka huu, na itagharimu takriban dola za Marekani milioni 105.75, ilisema taarifa hiyo.
SADC, yenye nchi wanachama 16, iliidhinisha vikosi kutumwa mashariki mwa Kongo mwezi Mei mwaka jana, kusaidia nchi hiyo, msambazaji mkuu wa cobalt duniani na mzalishaji mkuu wa shaba barani Afrika, kukabiliana na hali ya kukosekana kwa utulivu na kuzorota kwa usalama katika eneo la mashariki.
Miongo kadhaa ya migogoro mashariki mwa DRC, kati ya makundi hasimu yenye silaha, yakizozania ardhi na rasilimali, imepelekea vifo vya mamia ya maelfu ya watu na kusababisha zaidi ya watu milioni 7 kufurushwa makwao.
Kikosi cha SADC kinajumuisha wanajeshi kutoka Malawi, Afrika Kusini na Tanzania. Kutumwa huko kunajiri wakati Kongo inapambana na waasi wa M23 wanaoongozwa na Watutsi, ambao mashambulizi yao katika siku za hivi karibuni, yanatishia mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, Goma.
===
South Africa to deploy 2,900 soldiers to DR Congo
South Africa's President Cyril Ramaphosa has ordered the deployment of 2,900 soldiers to aid in the fight against armed rebel groups in the eastern Democratic Republic of Congo.
The troops will be posted as part of the southern African mission in DR Congo (SAMIDRC), which was approved by the regional bloc in May last year.
Malawi and Tanzania will also contribute troops to the mission.
The mission is replacing the East African regional force, which left DR Congo last December after the government deemed it ineffective.
The deployment will cost South Africa 2bn Rand ($105m; £83m) and is set to last until December this year, a statement from the presidency said.
The announcement comes amid a resurgence of fighting that has seen tens of thousands displaced, added to the nearly seven million who have been forced from their homes in DR Congo because of multiple conflicts.
Source: BBC