Afrika Kusini kupeleka wanajeshi 2,900 DRC kupambana na Waasi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Afrika Kusini itatuma wanajeshi 2,900, kama sehemu ya mchango wake kwa kikosi cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kinachotarajiwa kukabiliana na makundi yenye silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ofisi ya rais Cyril Ramaphosa, ilisema katika taarifa yake Jumatatu.

Operesheni hiyo ya mwaka mmoja ni ya kati ya Desemba 15, mwaka 2023 na Desemba 15, mwaka huu, na itagharimu takriban dola za Marekani milioni 105.75, ilisema taarifa hiyo.

SADC, yenye nchi wanachama 16, iliidhinisha vikosi kutumwa mashariki mwa Kongo mwezi Mei mwaka jana, kusaidia nchi hiyo, msambazaji mkuu wa cobalt duniani na mzalishaji mkuu wa shaba barani Afrika, kukabiliana na hali ya kukosekana kwa utulivu na kuzorota kwa usalama katika eneo la mashariki.

Miongo kadhaa ya migogoro mashariki mwa DRC, kati ya makundi hasimu yenye silaha, yakizozania ardhi na rasilimali, imepelekea vifo vya mamia ya maelfu ya watu na kusababisha zaidi ya watu milioni 7 kufurushwa makwao.

Kikosi cha SADC kinajumuisha wanajeshi kutoka Malawi, Afrika Kusini na Tanzania. Kutumwa huko kunajiri wakati Kongo inapambana na waasi wa M23 wanaoongozwa na Watutsi, ambao mashambulizi yao katika siku za hivi karibuni, yanatishia mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, Goma.

===

South Africa to deploy 2,900 soldiers to DR Congo

South Africa's President Cyril Ramaphosa has ordered the deployment of 2,900 soldiers to aid in the fight against armed rebel groups in the eastern Democratic Republic of Congo.

The troops will be posted as part of the southern African mission in DR Congo (SAMIDRC), which was approved by the regional bloc in May last year.

Malawi and Tanzania will also contribute troops to the mission.

The mission is replacing the East African regional force, which left DR Congo last December after the government deemed it ineffective.

The deployment will cost South Africa 2bn Rand ($105m; £83m) and is set to last until December this year, a statement from the presidency said.

The announcement comes amid a resurgence of fighting that has seen tens of thousands displaced, added to the nearly seven million who have been forced from their homes in DR Congo because of multiple conflicts.

Source: BBC
 
Afrika Kusini itatuma wanajeshi 2,900, kama sehemu ya mchango wake kwa kikosi cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kinachotarajiwa kukabiliana na makundi yenye silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ofisi ya rais Cyril Ramaphosa, ilisema katika taarifa yake Jumatatu.

Operesheni hiyo ya mwaka mmoja ni ya kati ya Desemba 15, mwaka 2023 na Desemba 15, mwaka huu, na itagharimu takriban dola za Marekani milioni 105.75, ilisema taarifa hiyo.

SADC, yenye nchi wanachama 16, iliidhinisha vikosi kutumwa mashariki mwa Kongo mwezi Mei mwaka jana, kusaidia nchi hiyo, msambazaji mkuu wa cobalt duniani na mzalishaji mkuu wa shaba barani Afrika, kukabiliana na hali ya kukosekana kwa utulivu na kuzorota kwa usalama katika eneo la mashariki.

Miongo kadhaa ya migogoro mashariki mwa DRC, kati ya makundi hasimu yenye silaha, yakizozania ardhi na rasilimali, imepelekea vifo vya mamia ya maelfu ya watu na kusababisha zaidi ya watu milioni 7 kufurushwa makwao.

Kikosi cha SADC kinajumuisha wanajeshi kutoka Malawi, Afrika Kusini na Tanzania. Kutumwa huko kunajiri wakati Kongo inapambana na waasi wa M23 wanaoongozwa na Watutsi, ambao mashambulizi yao katika siku za hivi karibuni, yanatishia mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, Goma.

===

South Africa to deploy 2,900 soldiers to DR Congo

South Africa's President Cyril Ramaphosa has ordered the deployment of 2,900 soldiers to aid in the fight against armed rebel groups in the eastern Democratic Republic of Congo.

The troops will be posted as part of the southern African mission in DR Congo (SAMIDRC), which was approved by the regional bloc in May last year.

Malawi and Tanzania will also contribute troops to the mission.

The mission is replacing the East African regional force, which left DR Congo last December after the government deemed it ineffective.

The deployment will cost South Africa 2bn Rand ($105m; £83m) and is set to last until December this year, a statement from the presidency said.

The announcement comes amid a resurgence of fighting that has seen tens of thousands displaced, added to the nearly seven million who have been forced from their homes in DR Congo because of multiple conflicts.

Source: BBC
Kuna wanajeshi wa kigeni zaidi ya 16,0000 huko ila bado uasi upo, hakutakuwa na jipya
 
Acha unafiki wewe,, nyie si ndo mlikuwa mnapiga kelele humu kisa S. A kamfungulia kesi Israel na kuwaacha ndugu zake africa hasa Congo wakiteseka na vita, sasa kapeleka askari mmerudi tena kule kule kwa palestina, huu ni unafiki wa kiwango cha sgr..
alianza na hamas wkt jiran yake msumbiji yupo na magaidi kwa miaka na miaka
 
Back
Top Bottom