Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
Muda si mrefu nimeongea na mdau wa JF Lunyungu akaniarifu kuwa kapata ajali mbaya maeneo ya Bagamoyo baada ya gari alilokuwa akiendesha kupinduka vibaya.
Kwa wale wenye kuhitaji kuongea naye naweza kuwapa namba yake katika PM.
Kwa wale wenye kuhitaji kuongea naye naweza kuwapa namba yake katika PM.