@Manyerere Jackton anasema "ludovic ni machine ya chadema" kwenye ile thread ya saa 1.13
Juliana Shonza anacomment kwenye youtube eti Ludovic ni machine ya chadema
Vedio ya lwakatare imerecordiwa tarehe 28.12.2012 ambayo imekuwa framed na kuwekwa jina la LUdovic
Mategemeo:
Ludovic ataojiwa na polisi na kukubali kuwa ni kweli alikuwa na lwakatare na alisema yale maneno
Huu mpango umepangwa from
CCM(Januari makamba na wasira) ----usalama wa taifa-----Police- Manyerere----Deus----Ludovic----
Naampa mbele ya Mungu kutumia resource zangu mpaka nawambia wausika wa hii kitu
I will stay alone to belieave this SHIT
Shida zote hizi,kuua watu na kutesa,kuumiza wengine hata kwa kuwatesa kiakili na kifikra,kuumiza
nafsi za watanzania kwa kusikia habari mbay,yoooote haya chimbuko lake ni uraisi 2015.
Ni heri Mungu aingilie kati achukue maisha ya wote wanaopanga mipango hii michafu kwa ajili ya uroho
wa madaraka na kulinda ufisadi ambao tayari walishatutendea watanzania. Ameeeen'
Hata hivyo, katika hili lililomtokea, siwezi hapa kumtetea wala kumtia hatiani. Maana, naye ni binadamu kama wengine, siwezi kusema kuwa ninamfahamu sana. Kwa vile yuko mikononi mwa vyombo vya usalama , nina imani, kuwa vyombo hivyo vitafanya kazi yake ili kutusaidia katika kupata ukweli wa jambo zima. Na kama ni kweli kwa namna yoyote ile itathibitishwa kuwa ameshiriki njama za kupanga mikakati hiyo ya kigaidi, basi, ahukumiwe kwa dhambi hiyo.
Acha ujinga kwani huko iringa umeambiwa ndo mara yake ya kwanza kwenda? Hujui umuhimu wa hivyo vitabu kwao usilopoke tu. Kwani kujificha si angeweza potea tu asijulikane alipo?Kwani alishindwa kuvituma mpaka akuletee, kuna kitu alikuwa anakimbia Dar na ww Majjid inabidi uhojiwe.
Utata mwingine hapo kwenye bold, mbona tuliambiwa alipewa gari la polisi, hii teksi inaingiaje? au polisi nao walimwacha sehemu. Jamani muwe mnajipanga vizuri kwenye hizi movie zenu vinginevyo hamuwezi kumdanganya hata mtoto mdogo.
Hakika REMSA, Muumba na asikie maombi yako/yetu.Shida zote hizi,kuua watu na kutesa,kuumiza wengine hata kwa kuwatesa kiakili na kifikra,kuumiza
nafsi za watanzania kwa kusikia habari mbay,yoooote haya chimbuko lake ni uraisi 2015.
Ni heri Mungu aingilie kati achukue maisha ya wote wanaopanga mipango hii michafu kwa ajili ya uroho
wa madaraka na kulinda ufisadi ambao tayari walishatutendea watanzania. Ameeeen'
Duh maggid
Haya ndio ya Petro na Yesu nini hata Jogoo hajawika watu wameshaanza kukana.. ?
Duh nadhani ungesema tu hujui yaliyotokea bali uliyoambiwa na kuhusishwa hayo mengine ya kutokumfahamu nadhani yanaweza kutafsiriwa vingine.., sometimes elaboration nyingine zinaweza kumtupa mtu shimoni
Heri wewe ungeficha ujinga wako, hivi huoni kama unachotetea ni upuuzi, polisi wa nchi gani walikodishia mtu tax, na wakamweka kwenye tax na kichupi chake tu, hii ipo huko kwenu labda. Vitu vingine ukitetea unaonyesha upumbavu wako, ni heri unyamaze.Acha ujinga kwani huko iringa umeambiwa ndo mara yake ya kwanza kwenda? Hujui umuhimu wa hivyo vitabu kwao usilopoke tu. Kwani kujificha si angeweza potea tu asijulikane alipo?
Pili, nani alikwambia polisi hawawezi kukodi taksi kumpeleka au kumrudisha mahala mtu waliyenaye?
I have faith in Manyerere Jackton
Jambo moja nina uhakika nalo kuhusu Manyerere Jackton...the guy haogopi kusimamia ukweli!!! He's among of the few journalists I can trust katika kusimamia ukweli.I have faith in Manyerere Jackton
Kuna lugha aliyotumia Manyerere Jackton kwenye thread yake kabla ya hii, kushutumu Ludovick kuwa mashine ya CDM ndiyo lugha hiyo iliyotumiwa na Juliana Shonza akichangia cliP ya Bukoba Boy
very very planned