BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Amesema "Kama kushukuru inabidi Kuishukuru Serikali lakini sio mtu, na sasa hivi kuna tabia ya kijikomba na kujipendekeza ambayo haitupeleki mbele inaturudisha nyuma. Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiweke Chumvi na tusigope kusema, tusiwe wachochezi".
Akielezea dhana ya Uwajibikaji, amesema ni Usimamizi wa Mahusiano kati ya Serikali na Wananchi kwa kutoa Taarifa Muhimu kwa Wananchi na huo ndio Uwazi kwasababu Wananchi wana Haki ya Kujua.