Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,908
- 7,751
Funga kazi ni next week ambapo Laugwanani atakapohama CCM na kwenda Chadema...ndio itafahamika sasa kama kuna goli la mkono au hakuna
Hilo halipo.
Funga kazi ni next week ambapo Laugwanani atakapohama CCM na kwenda Chadema...ndio itafahamika sasa kama kuna goli la mkono au hakuna
Kwa kweli watanzania kama tunahitaji maendeleo,tujiunge pamoja kuiondoa CCM Madarakani.Bila ya hivyo tutaendelea kuibiwa maliasili zetu na kuwa Maskini mpaka mwisho wa Dahari.Hongera sana Seleliii!!!!.
Tabora ni ngumu sana ina wafia magamba na elimu ni ndogo, panahitaji mtu mzoefu na aliyewahi kuwa ndani ya ccm kama lucas
Lakini huyu sijui kama ana mapenzi ya kweli na chama chetu.
Ninaanza kupata hofu na hili wimbi la hawa wanachama "chotara"-wenye damu ya CCM kwa wingi na kwa mbali wana damu ya CHADEMA.
Selelii hataiweza spidi ya Chadema, atatusumbua tu kama shibuda. Labda ahamie chadema atulie awe mwanachama wa kawaida akitaka ubunge asubiri 2020
anapoteza muda tu. miaka yote hiyo alikuwa anasubiri nini?
Hivi mbona hawaendi vyama vingine?
Kwa iyo watu waliokilea chama hapo awali ye akiwa ccm, wananafasi gn Chadema za kugombea?!
Hii tabia ya siku izi siipendi kabisa.
Lakini huyu sijui kama ana mapenzi ya kweli na chama chetu.
Ninaanza kupata hofu na hili wimbi la hawa wanachama "chotara"-wenye damu ya CCM kwa wingi na kwa mbali wana damu ya CHADEMA.
Huyu anaweza kua mwanamabadiliko wa kweli manake walimtenda huko magambani... Amekaa benchi mda mrefu huenda kashatubu