Lucas Selelii ajiunga CHADEMA, kugombea Ubunge Nzega

Lucas Selelii ajiunga CHADEMA, kugombea Ubunge Nzega

anaweza asishinde lakini akaongeza kura za rais pia ni vizuri ataweza kuanzisha vuguvugu kuu kwa watu wanaweza kubadilika kama Igunga
 
anaweza asishinde lakini akaongeza kura za rais pia ni vizuri ataweza kuanzisha vuguvugu kuu kwa watu wanaweza kubadilika kama Igunga

nakuhakikishia anashinda tena kishindo kikubwa
 
anapoteza muda tu. miaka yote hiyo alikuwa anasubiri nini?

Grace period. . . . huyu anaweza kuwa na sababu sio hawa waliovuta mafao juzi leo tayari wana msimamo mpya. . . . .Too soon!!!!
 
Seleli anapambana na Kingwangwala Nzega vijijini na Bashe kaachiwa mjini. Sasa kuhama kwake sijui nini.

Kwa sababu yupo kwenye kura za maoni sasa ndani ya gamba.
 
Wakuu, habari tulizozipata hivi punde ni kwamba, aliyekuwa Mbunge wa Nzega kisha akaangushwa na Bashe Katika kura za Maoni ila Kamati kuu wakampa Kigwangallah Ubunge wa zawadi, katimukia CHADEMA.

Ana mpango wa kujaribu kulitetea jimbo hilo kupitia chama hicho cha makamanda wakukomaa hadi kieleweke CHADEMA.
Mbona nilisoma mahali huyu jamaa amechukua form ya CCM kwa Nzega Vijijini
 
Lakini Lukas Selelii ni type ya Jemsi Lembeli hata kipindi alipokuwa mbunge.
Lakini huyu sijui kama ana mapenzi ya kweli na chama chetu.

Ninaanza kupata hofu na hili wimbi la hawa wanachama "chotara"-wenye damu ya CCM kwa wingi na kwa mbali wana damu ya CHADEMA.
 
Hawezi kushinda kwa sababu mbili...

1. Anapogombea ni Nzega kijijini ambapo hana base na infact CCM bado inamizizi kijijini

2. Kwa Nzega mjini yupo Bashe. Kwa jinsi Bashe anavyokubalika hata Seleli aende na chama cha Democrat cha Marekani hashindi....

Kama hii habri ni kweli basi ni habari njema sana, Selleli kama kashindwa mapigo ya kura za maoni hatayaweza ya uchaguzi mkuu.

Kigwangalla Tena!
 
Huyu bwana namkumbuka enzi zake alikuwa hasemi mhe. Spika badala yake alikuwa anasema bwana Spika.

Ni kweli. Ni mtu mwenye msimamo wa kipekee. Huyu ni sawa na akina Kangi Lugora.
 
Hawezi kushinda kwa sababu mbili...

1. Anapogombea ni Nzega kijijini ambapo hana base na infact CCM bado inamizizi kijijini

2. Kwa Nzega mjini yupo Bashe. Kwa jinsi Bashe anavyokubalika hata Seleli aende na chama cha Democrat cha Marekani hashindi....

Historia inaweza kujirudi, Bashe
ni team Lowassa kindakindaki, ATAKATWA Kama last time, Hamis kwa Sasa ni mwepesi na makovu ya kukatwa EL yameiumiza campaign machinery ya CCM nchi nzima, no Wonder Pius Msekwa mekaririwa na vyombo vya habari Leo hii akitabiri CCM kushindwa; "ccm imejiandaa kushindwa"!
 
Huyu anaweza kua mwanamabadiliko wa kweli manake walimtenda huko magambani... Amekaa benchi mda mrefu huenda kashatubu
Mwaka huu mtasifia mpama vilivyooza bado tibaijuka naye atakuja mjiandae kumpokea kifupi ni kwamba yale mafisadi yote yatakuja chadema.
 
Wakuu, habari tulizozipata hivi punde ni kwamba, aliyekuwa Mbunge wa Nzega kisha akaangushwa na Bashe Katika kura za Maoni ila Kamati kuu wakampa Kigwangallah Ubunge wa zawadi, katimukia CHADEMA.

Ana mpango wa kujaribu kulitetea jimbo hilo kupitia chama hicho cha makamanda wakukomaa hadi kieleweke CHADEMA.

Tunamkaribisha sana.
 
jamani chama kimejaa wanachama wanatosha wengine nendeni CHAUSTA.Unataka tuwe tena na mfumo wa chama kimoja CDM?
 
Yaani hadi wakatwe ndio waje chadema?
Haiwezekani tuna mashaka nao
 
Namkumbuka wakati akiwa mbunge wakati wa uspika wa mzee Sitta jamaa alikuwa very critical na hasemagi "mheshimiwa Fulani" bali hupenda kusema kum address mtu kwa kuanza na "Bwana/Ndugu........"

Nafikiri anafaa, lakini amechelewa sana kuchukua maamuzi ya kujiunga na timu ya ukombozi!!
 
Mwaka huu mtasifia mpama vilivyooza bado tibaijuka naye atakuja mjiandae kumpokea kifupi ni kwamba yale mafisadi yote yatakuja chadema.

Aje tu ila atubu na ajiandae kua mwanachama wa kawaida... hata yesu hakutumwa kuja kuwakomboa watakatifu bali wenye dhambi, katiba ya nchi na ya chama haimkatazi yeyote kujiunga na chama
 
Back
Top Bottom