Lucas Selelii ajiunga CHADEMA, kugombea Ubunge Nzega

Lucas Selelii ajiunga CHADEMA, kugombea Ubunge Nzega

Hao ni akina Shibuda tu CHADEMA mnakuwaje kuwapa magamba ubunge wakati mliandaa vijana na semina Juu, ile falsafa yetu ya Mabadiliko hayawezi kuletwa na watu walewale, akili zile zile tunaitendea haki? Ni bora kupoteza jimbo kuliko kuweka akili za ccm kwa mgongo wa CHADEMA fikra mpya zitatoka kwa watu wapya hasa vijana wenye moyo wa mabadiliko mioyoni mwao muda mrefu. Hao wanahamia CDM sababu ya ubunge na si vinginevyo. Kwanini wasihamie kama wanachama wa kawaida? Hao si ndio walishiriki kupoiga mabomu CDM, kuwasema vibaya, kuwabambikia kesi, kupitisha katiba mbovu, bajeti mbaya, sikatai kujiunga CDM ili wapewe transition period ya kuwa asses hata miaka mitano kuwapima kama kweli wanadhamira ya dhati.
 
nadhani watu watakuwa wamejifunza kutokana na mifano km iyo yakina shibuda na wengine waliojifanya undumila kuwili kujipendekeza ccm ....nini kimewakuta? Cheyo, mrema zitto maana wananchi wanaona
huyu ndio amefia siasani akingali mdogo sana
 
Waje wajeee kwenye chama cha ukombozi wa kweli P e e e e op l e ess POWER

Hawa jamaa wa kuja last minute wameshakigharimu chama vikubwa, kwa nini wanaendelea kuwa entertained 😱😱
 
Back
Top Bottom