Huyu alikuwa mwiba enzi ya 6
Nakubaliana na wewe mkuu maana kipindi kile alikuwa anaichana serikali mpaka akafanyiwa fitina akaenguliea kura za maoni
Huyu alikuwa mwiba enzi ya 6
Mwaka huu mtasifia mpama vilivyooza bado tibaijuka naye atakuja mjiandae kumpokea kifupi ni kwamba yale mafisadi yote yatakuja chadema.
Tupo Makini kipindi hiki kuli unavyo fikiriaLakini huyu sijui kama ana mapenzi ya kweli na chama chetu.
Ninaanza kupata hofu na hili wimbi la hawa wanachama "chotara"-wenye damu ya CCM kwa wingi na kwa mbali wana damu ya CHADEMA.
Lisije likawa jeshi la mafia la CCM limetumwa kuangamiza lakini ni haki yao kuhama kadri ya utashi wao wa kisiasa unavyowatuma. Cha msingi viongozi wa CDM kuwa makini na hao wageni kama walivyo m'treat' shibuda wembe uwe hivyohivyo mpaka watoke wenyewe..Lakini huyu sijui kama ana mapenzi ya kweli na chama chetu.
Ninaanza kupata hofu na hili wimbi la hawa wanachama "chotara"-wenye damu ya CCM kwa wingi na kwa mbali wana damu ya CHADEMA.
Hivi mbona hawaendi vyama vingine?
Lisije likawa jeshi la mafia la CCM limetumwa kuangamiza lakini ni haki yao kuhama kadri ya utashi wao wa kisiasa unavyowatuma. Cha msingi viongozi wa CDM kuwa makini na hao wageni kama walivyo m'treat' shibuda wembe uwe hivyohivyo mpaka watoke wenyewe..
Selelii ameomba kugombea ubunge kwa ccm, ameangushwa kura za maoni? Mahaba na Chadema yameanza lini?Wakuu, habari tulizozipata hivi punde ni kwamba, aliyekuwa Mbunge wa Nzega kisha akaangushwa na Bashe Katika kura za Maoni ila Kamati kuu wakampa Kigwangallah Ubunge wa zawadi, katimukia CHADEMA.
Ana mpango wa kujaribu kulitetea jimbo hilo kupitia chama hicho cha makamanda wakukomaa hadi kieleweke CHADEMA.