Lucas Selelii ajiunga CHADEMA, kugombea Ubunge Nzega

Lucas Selelii ajiunga CHADEMA, kugombea Ubunge Nzega

Kindus

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2014
Posts
4,229
Reaction score
3,330
Wakuu, habari tulizozipata hivi punde ni kwamba, aliyekuwa Mbunge wa Nzega kisha akaangushwa na Bashe Katika kura za Maoni ila Kamati kuu wakampa Kigwangallah Ubunge wa zawadi, katimukia CHADEMA.

Ana mpango wa kujaribu kulitetea jimbo hilo kupitia chama hicho cha makamanda wakukomaa hadi kieleweke CHADEMA.
 
Waje wajeee kwenye chama cha ukombozi wa kweli P e e e e op l e ess POWER
 
Hivi Selelii hakuwa mbunge? sasa nae mbona amesubiri dakika za mwisho? au alikuwa kwenye mpango mkakati na CDM? ccm tumemkosea nini mola wetu?
 
Wakuu, habari tulizozipata hivi punde ni kwamba, aliyekuwa Mbunge wa Nzega kisha akaangushwa na bashe Katika kura za Maoni ila Kamati kuu wakampa Kigwangallah Ubunge wa zawadi, katimukia CHADEMA.

Ana mpango wa kujaribu kulitetea jimbo hilo kupitia chama hicho cha makamanda wakukomaa hadi kieleweke CHADEMA.

Atetee jimbo gani wakati anagombea Nzega kijijini na Kigwa!
 
Back
Top Bottom