samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,607
- 4,818
Hii move ya Selelii kuhamia Chadema, inataka kututibulia mambo yetu, mgombea wa Chadema Nzega ni Bashe!. Selelii amepoteza mvuto!.
Pasco
Mkuu Pasco bashe yuko nzega mjini, selelii yuko nzega vijijini akipambana na kigwangala
Last edited by a moderator: