Lowassa na Pinda ndani ya Katavi kutafuta wadhamini

Edo amefunika vibaya vibaya, Huyo pinda kapotezewa mbali

haa haa uzuri wa lowasa hakuanza kampeni leo. alianza kampeni muda mrefu uliopita. ameweka mtandao nchi nzima.amewaweka mfukoni wajumbe karibu wote wa NEC na mkutano mkuu. ccm wanahitaji mbinu ya ziada kumkabili huyu jamaa nje ya hapo mekula kwao...
 
Umesahau na mamillioni ya wananchi walio nyuma yake au wewe haya mafuriko huyaoni.... Pole sana, chuki huziba ufahamu

Ndugu Ocampo, tupo wengi tu ambao hatuna sababu yoyoye ya kumchukia Lowassa, ila tunahamaki mambo mnayotaka kutuaminisha ninyi wapambe wake. Mimi binafsi nimenufaika na mfumo uliopo kwaiyo sina manung'uniko na wala sina mgombea.

Ila nashangaa nguvu kubwa inayotumika kuna nini kinafuatwa huko? Tutabaki salama? Nina ndugu zangu wa damu wamesombwa Arusha, wamesombwa Zanzibar, na hawana ukereketwa wowote wanaenda kwa vile wanalipiwa na wamehakikishiwa mambo yao yatakuwa safi na watapata connections japo sijui kivipi maana wengine ni wafanyabiashara wadogo tu kariakoo na wengine wanalima mipunga in small scales.. nk.

Ni kwa maslahi binafsi au ya nchi? kama ni ya nchi why spend too much? Why invest all that in the presidency? Zitarudije?
 
mkuu mgombea kuuzika unamaanisha nini? maana ccm kama wana misingi yao ni vizuri wakaifuata ili kumpata mgombea mwenye sifa.

mkuu namaanisha mgombea atakaye kubalika na wanachi wengi na kisha kupigiwa kura nyingi kama ilivyokua kwa Kikwete,
 
mkuu namaanisha mgombea atakaye kubalika na wanachi wengi na kisha kupigiwa kura nyingi kama ilivyokua kwa Kikwete,

mkuu suala sio kukubalika. cha msingi anakubalikaje? lowasa anakubalika kwa kutenda rafu mapema kabla ya wenzake.na mtindo huu anaoutumia ndio uliotumika na jk kuingia madarakani tatizo kwa sasa hatuna ccm imara ya kuthubutu kumnyoshea mtu kidole.
 
Kwa maneno yako inaonesha wazi umesahau kuwa kuna UKAWA ambao pia wanastahili kuongoza nchi kupitia kwenye uchaguzi huu huu! Je mnaiua ukawa kimya kimya au ndio kama vile nchi ni ya ccm??

Mimi na familiya yangu na jamii inayonizunguka tunamhitaji E.L ndio awe rais wa JMT yani LOWASSA pekee ndio ataiweka ccm kwenye mstari stahiki namuaminia Edward Lowassa kwa maendeleo ya Taifa letu

Ukawa wasubiri LOWASSA aweke nchi sawa maana yy ndio anafahamu ccm na hii serikali wapi imepinda wapi inyooshwe

Mtake msitake LOWASSA pekee ndio anaweza ccm na hii nchi hata viongozi wa ukawa hili wanalitambua fika sema tu katika siasa kila mtu mshindani ila ukweli upo wazi only LOWASSA for tanzania
 
mkuu suala sio kukubalika. cha msingi anakubalikaje? lowasa anakubalika kwa kutenda rafu mapema kabla ya wenzake.na mtindo huu anaoutumia ndio uliotumika na jk kuingia madarakani tatizo kwa sasa hatuna ccm imara ya kuthubutu kumnyoshea mtu kidole.

mkuu ni kweli ila napata wasiwasi sana na wengi waliojitokeza maana wamekua wakiuza sera zao kwa kuikosoa serikali iliyoko madarakani at the same time bado wamekalia viti,sasa hii inamaanisha mpaka sasa hakuna mgombea aliye kamilika asilimia mia moja ndani ya chama maana kila mmoja anamapungufu yake
 
mkuu ni kweli ila napata wasiwasi sana na wengi waliojitokeza maana wamekua wakiuza sera zao kwa kuikosoa serikali iliyoko madarakani at the same time bado wamekalia viti,sasa hii inamaanisha mpaka sasa hakuna mgombea aliye kamilika asilimia mia moja ndani ya chama maana kila mmoja anamapungufu yake

mkuu ni kweli miongoni mwa wagombea waliojitokeza wengi wana mapungufu. ila lowasa katenda kinyume na taratibu za chama. na hakuna wakumgusa ndani ya chama. ccm hawana ujanja chini ya lowasa...
 
Hivi naadhaje kumdhamin mwizi siwezi ng'ooo atafute majiz mezake
Mbona kwanza anauchu wa madaraka
 
Back
Top Bottom