Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,255
Vivaa Lowassa..wewe ndie Rais ajae..tunakuhitaji kwa mabadiliko ya Tanzania
Tunamuhitaji membe kuliko lowasa
Vivaa Lowassa..wewe ndie Rais ajae..tunakuhitaji kwa mabadiliko ya Tanzania
Mkuu ocampo hivi ikitokea hayo matumaini yako yote yasifike kileleni,kwa maana lowasa akashindwa kuingia kwenye 5 bora itakuwaje?
Hizo ni ndoto za abunuasi..... Kwa nini asiingie Mkuu......... Ukisoma sifa zote 13 anazo, na zaidi sifa namba 12 ambayo inamhitaji mgombea anayekubalika kwa wananchi....
Kuna baadhi ya wanao hoji uadilifu wa mh lowasa hasa kufuatia kujiudhuru nafasi yake kama waziri mkuu,hao unawafanyaje?
Pinda apigwe tu tumechoka liwalo na liwe
Kuna baadhi ya wanao hoji uadilifu wa mh lowasa hasa kufuatia kujiudhuru nafasi yake kama waziri mkuu,hao unawafanyaje?
Lowassa ndio kiongozi pekee who is pulling the crowd not by money kama maadui zake wanavyomtangaza but by virtue of his historical track record in power and in service of this nation.
To discredit him now is too late.
Hakuna anayeweza kumshinda Lowassa iwe ndani au nje ya CCM..... Hajazaliwa bado
Lowassa ni kiboko aisee...... Huyu jamaa nafkiri anasubiri tu kuapishwa, walahi ashakuwa Rais