Lowassa na Pinda ndani ya Katavi kutafuta wadhamini

Lowassa na Pinda ndani ya Katavi kutafuta wadhamini

Burton86jm

Mwenyekiti wa mkoa hakutamka hayo maneno wala wananchi wa mpanda hawakutamka hayo maneno

Mtatungabkila kitu mwaka huu lakini lowassa ndio Rais wa JAMHURI ya MUUNGANO wa Tanzania endeleeni kula pesa za Pinda zile za sukari tena mfilisini kabisa na za membe zile za gadaffi yani kuleni jamani msiogope

Lakini kura zote kwa LOWASSA kipenzi cha watanzania nyota ya LOWASSA IPO juu ingang'aa balaa hakuna namna nyingine yeye ni Rais tu wa JMT
 
Last edited by a moderator:
wadanganye wenzako mnaokula nao zile za kifisadi lakini tunaomjua huwezi kutudanganya hata chembe.

Ahahahaaa mtalala milango wazi mwaka huu ila LOWASSA is leading the way to ikulu mtaisoma namba mwaka huu yani kusoma hajui na hata picha hamuoni lol?

LOWASSA ni jembe eee La Tanzania ikulu moja october
 
bila kujiuzuru lowasa mge msikia dhaifu pinda .nasema dhaifu kwa sababu.babu yangu aliniambia mtu anaependa kutumia neno "mi nadhani"mtu huyo ni dhaifu sana.

Babu yako alikuwa kilaza kama wewe
 
Ahahahaaa mtalala milango wazi mwaka huu ila LOWASSA is leading the way to ikulu mtaisoma namba mwaka huu yani kusoma hajui na hata picha hamuoni lol?

LOWASSA ni jembe eee La Tanzania ikulu moja october

Huu sasa ndio nauita ushabiki maandazi! Kuingia kwenye mafuta mweupe unatoka wa brown
 
Sioni cha ajabu kwa ujio wa Pm Katavi after all that's his home ground ambapo tunategemea apate wadhamini wengi.
The fact that he's still in power is also a factor to consider because cheo chake kina attract watu na sio uwezo wake binafsi.
My take ni kwamba mtu kama Lowassa amejitaidi sana kupata wadhamini wengi kwani despite the fact that amekua nje ya system for 8 years but he's managed to pull a big chunk of the crowd and according to me, Edward Lowassa IS THE MAN TO BEAT.

mkuu kwa kiasi fulani uko sahihi. lakini nataka nikuhakikishie hakuna mgombea urais kupitia ccm aliyeanza kampeni mapema kama lowasa ndani ya ccm kamwe. lowasa alianza kutengeneza mtandao wa ushindi miaka kadhaa iliyopita. nilowasa aliyekuwa akihaha kununua wajumbe wa NEC na mkutano mkuu nchi nzima. binafsi sishangai kitendo cha lowasa kujaza watu kwenye mikutano yake ya kusaka wadhamini
 
Lowassa ndani ya mpanda kutafuta wadhamini,watu wamejitokeza huku bado masaa machache aingie na baba mwenye mji Pinda, mwenyekiti mkoa wa ccm ndugu Mselemu anaongea huku magari ya matangazo ya Pinda yakizunguka mjini hapa na kuachia maneno ya kumgusa Lowassa,kwa misemo mbali mbali kama "fimbo ya mbali haiui nyoka",huku Lowassa akitanguliwa na mwenyekiti wa chama mkoa ndugu Mselemu,kwa hali isiyo ya utulivu bada ya kutoa ruksa watu wasogee karibu kumskia Lowassa akaona kero ya kelele nyingi ndipo akaamua kusema "kama hamtulii ninamamlaka ya kumruhusu mheshiwa aende" kwa kile ambacho hakikutegemewa ziliskika sauti zikisema " "aende tu hatumtakii" " "aende hatumtakii "Lowassa akapewa jukwaa akashukuru kwa kupata wadhamini ambao kwa asilimia kubwa wamesafirishwa na malori toka vijijini kama karema ambapo ndio wengi zaidi,Kwa matangazo yaliopo hapa ni kuwa Pinda anaondoka saa tisa dodoma kuja Mpanda kutafuta wadhamini......more tu follow stay in touch here![/QUOTE

Mwenyekiti wa mkoa hakutamka hayo maneno wala wananchi wa mpanda hawakutamka hayo maneno

Mtatungabkila kitu mwaka huu lakini lowassa ndio Rais wa JAMHURI ya MUUNGANO wa Tanzania endeleeni kula pesa za Pinda zile za sukari tena mfilisini kabisa na za membe zile za gadaffi yani kuleni jamani msiogope

Lakini kura zote kwa LOWASSA kipenzi cha watanzania nyota ya LOWASSA IPO juu ingang'aa balaa hakuna namna nyingine yeye ni Rais tu wa JMT

Kwa maneno yako inaonesha wazi umesahau kuwa kuna UKAWA ambao pia wanastahili kuongoza nchi kupitia kwenye uchaguzi huu huu! Je mnaiua ukawa kimya kimya au ndio kama vile nchi ni ya ccm??
 
Umesahau na mamillioni ya wananchi walio nyuma yake au wewe haya mafuriko huyaoni.... Pole sana, chuki huziba ufahamu


Lowasa hana watu bali ana mtandao nimesha sema tricks zake anazozitumia leave alone that list is dirty tricks ambazo zitamfanya aenguliwe sijui mtahama Tanzania baada ya kuondolewa au ?
 
Ahahahaaa mtalala milango wazi mwaka huu ila LOWASSA is leading the way to ikulu mtaisoma namba mwaka huu yani kusoma hajui na hata picha hamuoni lol?

LOWASSA ni jembe eee La Tanzania ikulu moja october

mkuu inawezekana ukawa sahihi.maana ccm wana option mbili tu.ama wampitishe lowasa ama ccm isambaratike...
 
Vunja vunja visokolokwinyo. Wewe ni mwamba wa kaskazini. Tanzania ipo nyuma yako mwana wa Ngoyai
 
Lowasa hana watu bali ana mtandao nimesha sema tricks zake anazozitumia leave alone that list is dirty tricks ambazo zitamfanya aenguliwe sijui mtahama Tanzania baada ya kuondolewa au ?

mkuu ni kweli lowasa is a dirty man. lakini najiuliza nani wa kumuengua lowasa ndani ya ccm? maana kuna taarifa zisizo rasmi kwa sasa anatumia wazee wanaomkubali ndani ya chama kama kina kingunge na mkapa ili kuilainisha CC .kwa kweli ccm wako katika kipindi kigumu sana. maana jamaa kapania sana kuwa rais wa muungano. wajumbe wengi wa CC na mkutano mkuu hawapumui kamwe.
 
tatizo hapo ni kwa ccm kupata mgombea anayeuzika kama alivyosema mh raisi,sasa na sisi tujiulize swali mtu kama Pinda anauzika maana we know him very well,sasa hapa finally usije kushangaa Lowasa akawa mgombea wa ccm,maana mgombea asiye uzika atawapa nguvu ukawa
 
Leo katika zoezi la kutafuta wadhamini, Waziri Mkuu mstafu Edward Lowassa amekutana na mafuriko ya watu Mkoa wa Katavi wakiwa wanamsubiri kwa ajili ya kumdhamini....

Lowassa, katika mkoa huo umepata zaidi ya wadhamini 5,000....

Hii ndio safari ya Matumaini..... Jioni anatua Rukwa...

heri umeweka ukweli!/
 
Lowassa ndani ya mpanda kutafuta wadhamini,watu wamejitokeza huku bado masaa machache aingie na baba mwenye mji Pinda, mwenyekiti mkoa wa ccm ndugu Mselemu anaongea huku magari ya matangazo ya Pinda yakizunguka mjini hapa na kuachia maneno ya kumgusa Lowassa,kwa misemo mbali mbali kama "fimbo ya mbali haiui nyoka",huku Lowassa akitanguliwa na mwenyekiti wa chama mkoa ndugu Mselemu,kwa hali isiyo ya utulivu bada ya kutoa ruksa watu wasogee karibu kumskia Lowassa akaona kero ya kelele nyingi ndipo akaamua kusema "kama hamtulii ninamamlaka ya kumruhusu mheshiwa aende" kwa kile ambacho hakikutegemewa ziliskika sauti zikisema " "aende tu hatumtakii" " "aende hatumtakii "Lowassa
 
mkuu inawezekana ukawa sahihi.maana ccm wana option mbili tu.ama wampitishe lowasa ama ccm isambaratike...

inawezakana mkuu maana jamaa anaushawishi ukijumlisha za zile shule zake za kata anazidi kupata nguvu
 
tatizo hapo ni kwa ccm kupata mgombea anayeuzika kama alivyosema mh raisi,sasa na sisi tujiulize swali mtu kama Pinda anauzika maana we know him very well,sasa hapa finally usije kushangaa Lowasa akawa mgombea wa ccm,maana mgombea asiye uzika atawapa nguvu ukawa

mkuu mgombea kuuzika unamaanisha nini? maana ccm kama wana misingi yao ni vizuri wakaifuata ili kumpata mgombea mwenye sifa.
 
Back
Top Bottom