Burton86jm
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 616
- 183
Lowassa ndani ya mpanda kutafuta wadhamini,watu wamejitokeza huku bado masaa machache aingie na baba mwenye mji Pinda, mwenyekiti mkoa wa ccm ndugu Mselemu anaongea huku magari ya matangazo ya Pinda yakizunguka mjini hapa na kuachia maneno ya kumgusa Lowassa,kwa misemo mbali mbali kama "fimbo ya mbali haiui nyoka",huku Lowassa akitanguliwa na mwenyekiti wa chama mkoa ndugu Mselemu,kwa hali isiyo ya utulivu bada ya kutoa ruksa watu wasogee karibu kumskia Lowassa akaona kero ya kelele nyingi ndipo akaamua kusema "kama hamtulii ninamamlaka ya kumruhusu mheshiwa aende" kwa kile ambacho hakikutegemewa ziliskika sauti zikisema " "aende tu hatumtakii" " "aende hatumtakii "Lowassa akapewa jukwaa akashukuru kwa kupata wadhamini ambao kwa asilimia kubwa wamesafirishwa na malori toka vijijini kama karema ambapo ndio wengi zaidi,Kwa matangazo yaliopo hapa ni kuwa Pinda anaondoka saa tisa dodoma kuja Mpanda kutafuta wadhamini......more tu follow stay in touch here!