Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,257
Leo katika zoezi la kutafuta wadhamini, Waziri Mkuu mstafu Edward Lowassa amekutana na mafuriko ya watu Mkoa wa Katavi wakiwa wanamsubiri kwa ajili ya kumdhamini....
Lowassa, katika mkoa huo umepata zaidi ya wadhamini 5,000....
Hii ndio safari ya Matumaini..... Jioni anatua Rukwa...
Kwahiyo pinda hata kwao hatakiwi?