MNYOO JOGOO
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 195
- 94
Kwa kweli Mhongo alitudharau sana... But nadhani alifuta kauli hiyo
Mkuu mbona haja nguruma chochote hapa ninacho kiona ni kwamba amerudia yaleyale wanayoyafanya wenzake hata BRN yao imejikita kwenye maeneo hayo hayo.Hiyo foleni iliyopungua Dar es Salaam ni ipi? lets be serious jamani hakuna kilichopungua adha ikopalepale as usual ila sema kwa kuanzisha treni la usafiri wa ndani amabalo halijaondoa adha ya usafiri bado ulikuwa ni ubunifu iwapo ungezingatiwa kwa kuweka Mtandao unao hudumia sehemu zote korofi.Kwa sasa ksema kwamba kunamtu kapunguza foleni aah hapana bado! bado sana.
Halafu sidhani kama kuna uchumi wowote unao haribika kwa watu kuchelewa barabarani kwasababu wote ni wauza Juice na matunda si ndo tume ambiwa na Profesa Muhongo .Uchumi uko kwenye gesi wengine wote wauza Juice na vitumbua na hawana umuhimu wowote kwa serikali hii.