OOOOOooooh huyo hana issue yupo yupo kama sanamu kashikwa na raiki zake Wauza unga,Majangili na pia huyo si ndio muanzilishi wa Udini Tanzania na huyo huyo ndio katoa chokochoko ambazo Hadi wametwengwa na wakuu wa nchi za Kenya,Uganda na Rwandwa kweny maswala ya East Africa huyu mtu atakuwa mlalamika Hadi atoke hapo lakini hawezi kushughulikia matatizo hayo uliyoandika mkuu yeye mwenyewe ni FISADI sasa unategemea nini hapo alipo kafika KIFISADI na MAFISADI ndio waliomuweka hapo so what!!!Hakuna jipya hapo kesho.