Frank Sojo
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 343
- 97
Lowasa wana-CCM wenzio wanakuchukia usipime...!
anatafuta promo ya uraisi 2015
Hata jk analalamika. Slaa analalamika zitto anahujumu chama.kibaeni analalamika kuwa wachezaji wanauza mechi. Kila mtu analilia tu.
Ndani ya Magamba yeye ndiye Mwanaume pekee aliyebaki ukiachana na wengine wamekaa kama Vigoli tu huko.Hana lolote huyo anajipigia kampeni ana taka watanzania waamini kuwa hakuna mwenye uwezo wa kutoa maamzi magumu isipo kuwa ni yeye tu.
maneno na kutenda ni vitu tofauti miaka yote alipokuwa madarakani amefanyanini?amekuwa waziri mpaka waziri mkuu.
Hana haja hata ya Promo,
atapita tu!
Mtuhumiwa Mashuhuri wa Richmond ataongea muda si mrefu bungeni, kumbukeni hii itakuwa ni Mara ya pili kuongea bungeni toka achaguliwe 2010!
Huyo ndo raisi wako,baba yako na mtu atakayerejesha Tanzania tuitakayo,pia kaongelea kuhusu EAC badala ya kuvimbiana macho kumwandama Kagame kasema tusipoteze muda na haraka tuiwahi DRC. wimbo babababaa kiitikio: babaaa,baba huyo babaaa baba huyo......., hapo vipi?Mtuhumiwa Mashuhuri wa Richmond ataongea muda si mrefu bungeni, kumbukeni hii itakuwa ni Mara ya pili kuongea bungeni toka achaguliwe 2010!
Makanisa mangapi yamehudhuria bungeni leo ?
Sodakita ng'wanawane!Hana haja hata ya Promo,
atapita tu!
Rais ajaye..Keep it up LOWASSA!
Mbona hujamalizia kuhusu kauli yake kuhusu ushirikiano na EAC? Kasema tuachane nao na tushirikiane na DRC au una chuki Binafsi na raisi E Lowassa?Ametoa maoni juu ya vipaumbele ambavyo serikali inapaswa kuyapa msukumo. Vipaumbele ni ajira kwa vijana, elimu, reli ya kati na kupunguza foleni barabara za dar. Amevichambua vizuri na kusisitiza serikali lazima iwe inachukua maamuzi magumu pale ambao utekelezaji unapokwama.