Lowassa: Kiongozi na wananchi wote wanalalamika

Lowassa: Kiongozi na wananchi wote wanalalamika

mzee wa bomu la wakati___ajira
rais ajaye 2015 komaa baba
 
alichokiongea lowasa kina mantiki ila kimsingi tatizo la ajira haliwezi kutatuliwa kwa siasa za majukwaani ila kwa maamuzi magumu ya kufufua viwanda na kujenga viwanda vipya.chukulia mfano mdogo bakhersa(azam) yeye ameweza kuajiri watanzania wangapi je kama hii nchi kungelikuwepo na viwanda kama vyake kwenye sekta mbalimbali na mikoa tofauti je hili tatizo la jaira lingelikuwepo?tunahitaji maamuzi magumu na sio uswahili.
Lowassa anasema kuhusu ajira kwa vijana..
 
Lowassa kaongea point tupu hadi mbunge anaezungumza sasa mh.Moza Abedi katamani amwachie dk zake ili mh.Lowassa amalizie point zake.
 
Ni kauli aliyoitoa wakati akichangia bungeni na kutoa tahadhari kama viongozi hawawezi kufanya maamuzi na wao wakajiunga kwenye kundi la kulalamika, hali hii inaashiria kuwa na nchi ya malalamiko, viongozi wachukue hatua badala ya na wao kulalamika.

Kaongelea issue za ajira kwa vijana, Elimu na miundo mbinu; lakini hao aliowaambia wanaambilika?
 
Lowassa kaongea point tupu hadi mbunge anaezungumza sasa mh.Moza Abedi katamani amwachie dk zake ili mh.Lowassa amalizie point zake.
 
E.L angeweza kuwa kiongozi bora sana kama asingejihusisha na biashara.
Anaweza kuwa kiongozi mkubwa endapo atafuata mfano wa Zakayo kwenye biblia.
 
Hata jk analalamika. Slaa analalamika zitto anahujumu chama.kibaeni analalamika kuwa wachezaji wanauza mechi. Kila mtu analilia tu.
 
Katika wana ccm huyu ana akili kiasi wengine bongolala
 
Nimemskia ana hoji inakuwaje kila mtu analalamika??!!

Hapa alikuwa analenga viongozi.
 
Hana lolote huyo anajipigia kampeni ana taka watanzania waamini kuwa hakuna mwenye uwezo wa kutoa maamzi magumu isipo kuwa ni yeye tu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Haya maneno tu ya wanasiasa hivi unadhani kampa Mwakembe hongera pale za dhati kabisa ? Mtu ambae alimlalamikia kwa kuwakilisha ripoti ya Richmond kwa mbwembwe bila kumuhoji ingawa kama angetakiwa na kamati alilikuwa radhi kutembea kwa miguu.
 
Mwache aongee kwani ana haki kama wabunge wengine. Tena sasa atangaze rasmi kuwania urais wa Tanganyika
 
Tatizo ni mfumo wa sisiemu ni mbovu hata aende dr.slaa agombee urais au udiwani kwa kupitia sisiemu simpigii kura n'go
 
Lowassa kaongea point tupu hadi mbunge anaezungumza sasa mh.Moza Abedi katamani amwachie dk zake ili mh.Lowassa amalizie point zake.

maneno na kutenda ni vitu tofauti miaka yote alipokuwa madarakani amefanyanini?amekuwa waziri mpaka waziri mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom