Kevo
JF-Expert Member
- Jun 12, 2008
- 1,333
- 52
Sijapata kujua kama Lowasa anataka kuja kuwa rais wa tanzania,hii ndio naisikia kwako kwa mara ya kwanza....siwezi kukupinga kwa kuwa sijui ulioteshwa na nani jambo hili.hakuna Mwanasiasa makini anaweza kutengeneza kundi kubwa nanma hio eti limsafishe...kwakweli pamoja na ukilaza wangu nisingemshauri kufanya hivyo.nakumbuka ata wakati wa kinyang'anyiro cha nafasi ya urais ndani ya ccm hakuna mgombea ata mmoja aliepata kuwa na kamati kuu ya kampeni yenye watu zaidi ya wa 5.hii inatumika kama mbinu ya kuzuia taarifa kuvuja nje.unachagua watu 5 makini na unaowaamini.sasa hilo likamati la watu karibu sabini ambapokila kukicha wanaongezeka wapya.du haya ngoja tuoni kama ni kweli.Mwisho mimi sijasoma seminari,yawezekana humjui vema huyo unaemdhania kuwa unamjua.
Naona mnateteana.Tunarudi palepale kwenye personal interests.Usisahau ndugu yangu hawa watu wanajua wanalotaka.Ni kusafishana then 2010 wasaidiane majimboni kuibia watu kura.Nadhani na wewe umo maana unavyomtetea huyo Lowassa kuna walakini hapa.