Lowassa anasafishwa!

Sijapata kujua kama Lowasa anataka kuja kuwa rais wa tanzania,hii ndio naisikia kwako kwa mara ya kwanza....siwezi kukupinga kwa kuwa sijui ulioteshwa na nani jambo hili.hakuna Mwanasiasa makini anaweza kutengeneza kundi kubwa nanma hio eti limsafishe...kwakweli pamoja na ukilaza wangu nisingemshauri kufanya hivyo.nakumbuka ata wakati wa kinyang'anyiro cha nafasi ya urais ndani ya ccm hakuna mgombea ata mmoja aliepata kuwa na kamati kuu ya kampeni yenye watu zaidi ya wa 5.hii inatumika kama mbinu ya kuzuia taarifa kuvuja nje.unachagua watu 5 makini na unaowaamini.sasa hilo likamati la watu karibu sabini ambapokila kukicha wanaongezeka wapya.du haya ngoja tuoni kama ni kweli.Mwisho mimi sijasoma seminari,yawezekana humjui vema huyo unaemdhania kuwa unamjua.

Naona mnateteana.Tunarudi palepale kwenye personal interests.Usisahau ndugu yangu hawa watu wanajua wanalotaka.Ni kusafishana then 2010 wasaidiane majimboni kuibia watu kura.Nadhani na wewe umo maana unavyomtetea huyo Lowassa kuna walakini hapa.
 
Wakubwa inanipa shida kidogo pale tunapojikita zaidi kumjadili mtu baadala ya ishu halisi, kila mwanasiasa is dreaming to become the toppest ni time na mazingira ndio yanayositisha baadhi ya dreams.

Lowasa is one of them na sidhani kama anakosea kudream kuwa president, anaweza na tayari ana qualify maana tusidanganyane hapa, ndani ya siasa hakuna aliye msafi na ni siasa hiyohiyo inayozalisha misuguano chanya na hasi aili muradi tu dunia inasonga mbele.

Wanadamu nafasi yetu ktk dunia ni mpito tu na tuendako hakuna anayefahamu zaidi ya imani zetu, hivyo ni wajibu wetu kujiuliza na tuwe tayari kupata majibu ya aina zote maana si haki yetu kupenda majibu yanayofurahisha nyoyo zetu.

Lowasa ni mwanasiasa kama walivyo wengine waliopo hapa TZ na duniani na upo ushahidi wa kutosha wanasiasa wa aina ya Lowasa hufanikiwa kufikia kilele cha mafanikio ktk siasa endapo watathubutu kusimama imara na kupambana na washindani wake ktk duru za siasa. Kwa umri wa Lowasa na pale alipofika anawajibika ktk kujijengea wajihi mpya wa kisiasa ili kufanikisha ndoto zake kama kweli anautaka urais, asipofanya hivyo ni wazi Lowasa ameangamiza kila kitu ktk familia yake ktk siasa za nchi hii, na waTz tutambue mara zote watu walio fight kutoka ktk mawaa ya kisiasa na kufanikiwa kuitwaa nchi ndio watu wanaofanikiwa kuleta mageuzi ya kweli ktk jamii zao.

Namsihi Lowassa asonge mbele ktk maisha ya siasa zetu ili alete fundisho kwa kizazi kipya kinachokimbilia siasa lakini pia huu ni wasaa wa kuiangalia historia ya Tanzania kupitia mtumishi huyu Edward Ngoyai Lowasa.

We wait and see
 
Jr

Lowassa asijidanganye na siasa, apumzike sasa, akigombea Urais sio labda agombee kupitia Chausta kwani sio rais kushinda. Kwani maisha lazima yawe kwenye siasa tu??!! anaweza kuwa mfungwa, mkulima, mfugaji au hata mfanyabiashara. Hii ndio dunia duara, kuna kupanda na kushuka inabidi akaubaliane na hali halisi.
 
Jr

Lowassa asijidanganye na siasa, apumzike sasa, akigombea Urais sio labda agombee kupitia Chausta kwani sio rais kushinda. Kwani maisha lazima yawe kwenye siasa tu??!! anaweza kuwa mfungwa, mkulima, mfugaji au hata mfanyabiashara. Hii ndio dunia duara, kuna kupanda na kushuka inabidi akaubaliane na hali halisi.

I suggest awe mfungwa.
 
kila mtu anaweza kuwa na ndoto za urais, lakini la maana ni namna anavyotimiza hizo ndoto zake. aidha anafanya kazi na kwa lipato chake halisi anafanikisha ndoto yake. lakini huyu lowasa yeye antaka kutimiza adhima yake kwa kukomba hazina ya nchi eg epa, richmond, elerai nk. hapa ndipo tunapomshupalia
 
Taarifa kutoka Bungeni Dodoma kwamba DAWASCO/Wizara ya Maji na Umwagiliaji imemwomba radhi Mbunge wa Kyela na Mwenyekiti wa Richmond kwa kumpakazia na kumdhalilisha kuwa mwizi wa maji kumbe sivyo, zimetufanya baadhi yetu tumwangalie mwandishi wa habari mwenzetu, Badra Masoud, kwa jicho la udadisi zaidi. Badra alikuwa Meneja Uhusiano wa DAWASCO ambaye aliwakusanya waandishi mbalimbali wa habari na kuwapeleka kwenye kiwanja alichodai cha Dk. Mwakyembe.

Kabla ya kujiunga DAWASCO Badra alikuwa mhariri wa gazeti la Mtanzania, moja ya magazeti lukuki yanayomilikiwa na Rostam Aziz. Waandishi wengi wananong'ona kuwa Badra, mbali ya kuwa karibu sana na Rostam, ni nanihii ya Lowassa. Achana na hilo, la msingi ni kuwa "alipelekwa" DAWASCO na Rostam/Lowassa kufanyakazi mbili:1) kumwokoa Kaaya, mtu aliyeteuliwa na Lowassa kuiongoza DAWASCO na ambaye alikuwa kwenye hali ngumu ya kushinikizwa na wafanyakazi aachie ngazi mara tu baada ya Lowassa kutangaza kujiuzulu Uwaziri Mkuu mapema mwaka huu. Kazi ya Badra ilikuwa kuwapooza wafanyakazi na kumpamba sana mpambe huyo wa Lowassa, Kaaya. 2) kuendesha mapambano ya Kamati Maalum ya Waandishi wa Habari ya KALOKIRO (Karamagi, Lowassa, Kingunge, Rostam) akiwa nje ya vyombo vya habari lakini kwa kushirikiana kwa karibu na "boi" au "vitwana" wakuu wa Rostam: Prince Bagenda na Deodatus Balile. Kazi yao kubwa ni kuwashughulikia "maadui wa mtandao" kwa taarifa mbalimbali za kashfa kupitia magazeti mapya ya Rostam, Lowassa na Karamagi: TAIFA, NYUNDO n.k.

Wamefaulu kuandika mengi kuhusu Ole Sendeka (eti anawapa mimba wanafunzi), Anne Kilango (eti ana hasira kwa mumewe kukosa Urais), Samwel Sitta (eti ana nyumba ndogo na ni mwizi wa dawa), Dk. Mwakyembe (eti ni mwizi wa maji), Selelii (eti ni mtoa rushwa kutokana na kesi ya kubambikiwa Nzega) n.k.

Badra kamaliza assignement yake DAWASCO, sasa "kapelekwa" TANESCO kumsaidia fisadi mwingine, Dk. Idrisa Rashid ambaye ni mwana VODACOM mwenzake na Rostam na mtu ambaye anatajwa kwenye kesi ya vijisenti kwa kupelekewa zaidi ya pauni za Kiingereza 400,000 kwenye akaunti yake Afrika ya Kusini. Naambiwa akishamaliza assignment yake hapo TANESCO, Badra anajiunga na TICS! Kama si mamluki wa Rostam/ Lowassa, huyu Badra ni nani basi? Ijabu
 
hold on a minute... this is deep... ni kweli Badra amehamishiwa Tanesco? hivi DAWASCO na TANESCO ziko wizara moja.. ?
 
Taarifa kutoka Bungeni Dodoma kwamba DAWASCO/Wizara ya Maji na Umwagiliaji imemwomba radhi Mbunge wa Kyela na Mwenyekiti wa Richmond kwa kumpakazia na kumdhalilisha kuwa mwizi wa maji kumbe sivyo, zimetufanya baadhi yetu tumwangalie mwandishi wa habari mwenzetu, Badra Masoud, kwa jicho la udadisi zaidi. Badra alikuwa Meneja Uhusiano wa DAWASCO ambaye aliwakusanya waandishi mbalimbali wa habari na kuwapeleka kwenye kiwanja alichodai cha Dk. Mwakyembe.

Kabla ya kujiunga DAWASCO Badra alikuwa mhariri wa gazeti la Mtanzania, moja ya magazeti lukuki yanayomilikiwa na Rostam Aziz. Waandishi wengi wananong'ona kuwa Badra, mbali ya kuwa karibu sana na Rostam, ni nanihii ya Lowassa. Achana na hilo, la msingi ni kuwa "alipelekwa" DAWASCO na Rostam/Lowassa kufanyakazi mbili:1) kumwokoa Kaaya, mtu aliyeteuliwa na Lowassa kuiongoza DAWASCO na ambaye alikuwa kwenye hali ngumu ya kushinikizwa na wafanyakazi aachie ngazi mara tu baada ya Lowassa kutangaza kujiuzulu Uwaziri Mkuu mapema mwaka huu. Kazi ya Badra ilikuwa kuwapooza wafanyakazi na kumpamba sana mpambe huyo wa Lowassa, Kaaya. 2) kuendesha mapambano ya Kamati Maalum ya Waandishi wa Habari ya KALOKIRO (Karamagi, Lowassa, Kingunge, Rostam) akiwa nje ya vyombo vya habari lakini kwa kushirikiana kwa karibu na "boi" au "vitwana" wakuu wa Rostam: Prince Bagenda na Deodatus Balile. Kazi yao kubwa ni kuwashughulikia "maadui wa mtandao" kwa taarifa mbalimbali za kashfa kupitia magazeti mapya ya Rostam, Lowassa na Karamagi: TAIFA, NYUNDO n.k.

Wamefaulu kuandika mengi kuhusu Ole Sendeka (eti anawapa mimba wanafunzi), Anne Kilango (eti ana hasira kwa mumewe kukosa Urais), Samwel Sitta (eti ana nyumba ndogo na ni mwizi wa dawa), Dk. Mwakyembe (eti ni mwizi wa maji), Selelii (eti ni mtoa rushwa kutokana na kesi ya kubambikiwa Nzega) n.k.

Badra kamaliza assignement yake DAWASCO, sasa "kapelekwa" TANESCO kumsaidia fisadi mwingine, Dk. Idrisa Rashid ambaye ni mwana VODACOM mwenzake na Rostam na mtu ambaye anatajwa kwenye kesi ya vijisenti kwa kupelekewa zaidi ya pauni za Kiingereza 400,000 kwenye akaunti yake Afrika ya Kusini. Naambiwa akishamaliza assignment yake hapo TANESCO, Badra anajiunga na TICS! Kama si mamluki wa Rostam/ Lowassa, huyu Badra ni nani basi? Ijabu


Namjua Badra "personally" lakini mindhali hakuna data za kutosha zilizomwagwa basi nitaendelea kufuatilia huu mjadala kwa karibu mpaka hapo baadae nitakapo ona umuhimu wa kuingia in full
 
Bila ya kuwa na ushahidi wa wazi, muandishi ameonyesha pattern fulani hivi inayoweza kuaminika, the Mtanzania- Rostam Lowassa-Maji connection is plausible.

Either he has some points or is a passing artist.
 
hold on a minute... this is deep... ni kweli Badra amehamishiwa Tanesco? hivi DAWASCO na TANESCO ziko wizara moja.. ?

Ni kweli Badra Masoud sasa yuko Tanesco HQ, ila sina hakika kama kachukua nafasi ya Dan Mshana au anafanya kazi pamoja na Dan Mshana, Manager PR.

Tanesco na DAWASCO ziko wizara tofauti. DAWASCO iko chini ya Prof. Mwandosya (Maji na Umwagiliaji) na Tanesco iko chini ya William Ngeleja (Nishati na Madini).
 
Kiungani, nimeuliza hilo kwa sababu ni rahisi kwa kiasi gani mfanyakazi kutoka wizara moja kwenda wizara nyingine hasa ukiwa wa nafasi ya kati?
 
Taarifa kutoka Bungeni Dodoma kwamba DAWASCO/Wizara ya Maji na Umwagiliaji imemwomba radhi Mbunge wa Kyela na Mwenyekiti wa Richmond kwa kumpakazia na kumdhalilisha kuwa mwizi wa maji kumbe sivyo, zimetufanya baadhi yetu tumwangalie mwandishi wa habari mwenzetu, Badra Masoud, kwa jicho la udadisi zaidi. Badra alikuwa Meneja Uhusiano wa DAWASCO ambaye aliwakusanya waandishi mbalimbali wa habari na kuwapeleka kwenye kiwanja alichodai cha Dk. Mwakyembe.

Kabla ya kujiunga DAWASCO Badra alikuwa mhariri wa gazeti la Mtanzania, moja ya magazeti lukuki yanayomilikiwa na Rostam Aziz. Waandishi wengi wananong'ona kuwa Badra, mbali ya kuwa karibu sana na Rostam, ni nanihii ya Lowassa. Achana na hilo, la msingi ni kuwa "alipelekwa" DAWASCO na Rostam/Lowassa kufanyakazi mbili:1) kumwokoa Kaaya, mtu aliyeteuliwa na Lowassa kuiongoza DAWASCO na ambaye alikuwa kwenye hali ngumu ya kushinikizwa na wafanyakazi aachie ngazi mara tu baada ya Lowassa kutangaza kujiuzulu Uwaziri Mkuu mapema mwaka huu. Kazi ya Badra ilikuwa kuwapooza wafanyakazi na kumpamba sana mpambe huyo wa Lowassa, Kaaya. 2) kuendesha mapambano ya Kamati Maalum ya Waandishi wa Habari ya KALOKIRO (Karamagi, Lowassa, Kingunge, Rostam) akiwa nje ya vyombo vya habari lakini kwa kushirikiana kwa karibu na "boi" au "vitwana" wakuu wa Rostam: Prince Bagenda na Deodatus Balile. Kazi yao kubwa ni kuwashughulikia "maadui wa mtandao" kwa taarifa mbalimbali za kashfa kupitia magazeti mapya ya Rostam, Lowassa na Karamagi: TAIFA, NYUNDO n.k.

Wamefaulu kuandika mengi kuhusu Ole Sendeka (eti anawapa mimba wanafunzi), Anne Kilango (eti ana hasira kwa mumewe kukosa Urais), Samwel Sitta (eti ana nyumba ndogo na ni mwizi wa dawa), Dk. Mwakyembe (eti ni mwizi wa maji), Selelii (eti ni mtoa rushwa kutokana na kesi ya kubambikiwa Nzega) n.k.

Badra kamaliza assignement yake DAWASCO, sasa "kapelekwa" TANESCO kumsaidia fisadi mwingine, Dk. Idrisa Rashid ambaye ni mwana VODACOM mwenzake na Rostam na mtu ambaye anatajwa kwenye kesi ya vijisenti kwa kupelekewa zaidi ya pauni za Kiingereza 400,000 kwenye akaunti yake Afrika ya Kusini. Naambiwa akishamaliza assignment yake hapo TANESCO, Badra anajiunga na TICS! Kama si mamluki wa Rostam/ Lowassa, huyu Badra ni nani basi? Ijabu

Umeunganisha dots vizuri sana, inawezekana unayosema ni kweli. Viongozi wetu ni mahodari sana kwa ufuska kwa hiyo yeye kuwa nanihii ya Lowassa is possible kama hajaolewa. Ngoje tusubiri kupata taarifa zaidi kutoka wanaomfahamu zaidi kama wapo.
 
Kiungani, nimeuliza hilo kwa sababu ni rahisi kwa kiasi gani mfanyakazi kutoka wizara moja kwenda wizara nyingine hasa ukiwa wa nafasi ya kati?


Mkuu usishangae hilo, inategema unamja nani na kwa nini, hujasikia wakuu wakihama na madereva wao? madereza wala si wa kati ni wafanyakazi wa chini...lakini wa 'juu' in their own right.

kale kainzi kamerudi kutoka kaliko ama bado? LOL
 
kamerudi na taarifa nzito, lakini kutokana na maendeleo ya hapa, kuna habari itabidi tuzishikirie kwa muda kidogo.
 
Ni kweli Badra Masoud sasa yuko Tanesco HQ, ila sina hakika kama kachukua nafasi ya Dan Mshana au anafanya kazi pamoja na Dan Mshana, Manager PR

Ni kweli kwa sasa Badra Masoud ni Public Relations Manager wa Tanesco, kabla ya hapo Dan Mshana alikuwa ndiye Public Relations Manager wa Tanesco. Hii ina maana kwamba Dan Mshana hayuko tena Tanesco na nafasi yake ndo kachukua Badra Masoud. Japo website ya TANESCO http://www.tanesco.com/management.htmlhttp://bado inaonyesha Dan Mshana ndo PR Manager. Hili si la kushaza maana tunajua kwamba website haziwi-updated kama ilivyo kawaida kwa taasisi za Tanzania.
 
Last edited:
Huyu dada nilipewa data zake nyingi na alichokiandika hapa mwenzetu ni kweli ! Ni dada jeuri sana na kwa kweli she's not that bright kwamba apewe nafasi nyeti kama hizi. Wakati ule wa DAWASCO alikuwa na kazi maalum ya kuwaumbua wana CCM waliokuwa wamewaumbua wanamtandao lakini ali-over reach na Mwakyembe sasa ikabidi ahamishwe. Hata hivyo mi naona kama ni mtu mdogo sana in the large works kwa hiyo hakuna haja ya kumjadili sana. Ni kibaraka like many others....
 
Viongozi wetu ni mahodari sana kwa ufuska kwa hiyo yeye kuwa nanihii ya Lowassa is possible kama hajaolewa. Ngoje tusubiri kupata taarifa zaidi kutoka wanaomfahamu zaidi kama wapo.

Badra ameolewa na nadhani ameshaza na mume wake ingawa sijui idadi ya watoto wao
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom