Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
KALOKIRO wameamua kwenda na sisi vita kupitia vyombo vya habari.
Wakati sisi tunazidisha nguvu kwenye mtandao, wao wanafikia watu vijijini kwa magazeti. Pesa walizohujumu wanazitumia kujitangaza na kuiba kura kabla ya uchaguzi!
Wakati sisi tunazidisha nguvu kwenye mtandao, wao wanafikia watu vijijini kwa magazeti. Pesa walizohujumu wanazitumia kujitangaza na kuiba kura kabla ya uchaguzi!