Njomba, lakini cdm haina ushawishi ntwara. kwa nini kila kukicha unaota chadema?Wanaochochea itakuwa ni chadema tu, hakuna wengine.
Njomba, lakini cdm haina ushawishi ntwara. kwa nini kila kukicha unaota chadema?
Ushauri wa bure, pale mbaya wetu sote ni mliberali! Si unaona staili zenyewe za ki-el shabaab?
acha ubwege ww.
Naona kama umeadhirika na mafuta ya UBUYU!
Unakichocho wewe sio bure!Red brigade, kikundi cha ugaidi hamjakipeleka huko?
Unakichocho wewe sio bure!
Mafisadi je!bavichaa utawajuwa tu. Hamjfichi hata mkitiwa ndani ya chupa.
Mafisadi je!
huyo josefina ni mama yako nin?mbona huishi kumtaja?Bila ufisadi mpaka saa hizi Josefina angekuwa anaishi nyumba ya kupanga, umesahau?
Wanaochochea itakuwa ni chadema tu, hakuna wengine.
Likichaa hilo ni house boy la MwiguluKWELI WE ZOBA KAMA LILIVYO JINA LAKO KILA UKILISOMA NENO" CHADEMA" UNAWEWESEKA NA KUTOKA POVU OVYO.Eleza uhusika wa chadema ktk hilo sio porojo.