Lori lenye shehena ya bomba lashambuliwa Mtwara!

Lori lenye shehena ya bomba lashambuliwa Mtwara!

Njomba, lakini cdm haina ushawishi ntwara. kwa nini kila kukicha unaota chadema?
Ushauri wa bure, pale mbaya wetu sote ni mliberali! Si unaona staili zenyewe za ki-el shabaab?


mbaya wenu mmeshamjua, kwan nyie ni kina nani?
 
Wananchi wa mtwara hawana kosa lolote ila serikali ya ccm ilianza vibaya na hata baada ya kujua kwamba wameharibu hawataki kukubali kosa ila kila kukicha ni vitisho na vipigo na wengine kufungwa,ila mwisho wa siku tunarudi pale pale kwamba wananchi wa mtwara wanahitaji elimu kuhusu Raslimali zao na hatma ya mkoa wao katika kasi ya maendeleo,Wanamtwara ni haki yenu daini mpaka kiheleweke.
 
Wanadhan ile ni gas ya kwao ile ni mali ya watanzania wote this resouse shoul be of benefit to all tanzanian and not mtwara only
 
Tatizo serikali ya ccm imekuwa na ubabe katika utendaji kazi. Sioni sababu ya kufanya mipango bila kuwashirikisha wananchi,mpaka mambo yakiwa tayari ndo wanapeleka kwa wananchi.Wananchi wa Mtwara wanakila sababu ya kulipinga jambo hilo.Serikali ingekuwa na nia ya dhati ingewashirikisha tangu hatua zaa awali
 
ndo maana mtela na shonza wanathaminika huko lumumba sababu ni wajinga wenye afadhali kuliko makapi kama nyie

Nani anaechukia maendeleo yanayoletwa na Jakaya Mrisho Kikwete zaidi yenu?
 
Asante sana kwakunisahihisha ni ulimi uliteleza! Narudia tena kwa msisitizO - Naona kama umeathirika na mafuta ya UBUYU!

Wanaokula hiyo chakula ya tembo ni waporini kama wewe.
 
Umesahau kwamba wewe ni mmoja wa watu mnaowaita chadema ni wachaga na wakristo? ndiyo maana huwa nasema kitengo chenu cha propaganda hakijajipanga au ni vilaza, unakumbuka mlivyo anza kamchezo ka kujivua gamba? baadaye mkagundua mmechemka sana sana tu mmemuweka katika hali tete Napeh na Lowwasa

Sasa wewe hujuwi hilo au unaleta u dj?
 
Wewe hata mme wako akikunyima haki yako ya ndoa utasema ni Chadema ukikuwa utaacha.

bavichaa utawajuwa tu, hata ukiwatia kwenye chupa watanyoosha kidole.
 
Wanaochochea itakuwa ni chadema tu, hakuna wengine.

Ha ha ha ha!! Mkuu zomba umenifurahisha sana. Yaani unataka kusema warusha mabomu ni CDM, wang'oa kucha na meno bila gazi ni CDM, wachoma makanisa ni CDM, yaani social unrest zote katika nchi hii wanasababisha CDM? Tafakari kwanza mkuu.. Huwe objective badala ya kushabikia vyama au siasa.
 
mabomba yalipotua TPA wanamtwara walidhihakiwa kua fujo zao zimefika ukingoni haya sasa nona harufu ya ile vita vya wenyewe kwa wenyewe kama Nigeria kwenye mafuta kule inaanza kunukia hapa nyumbani kwetu kusini.
 
Ha ha ha ha!! Mkuu zomba umenifurahisha sana. Yaani unataka kusema warusha mabomu ni CDM, wang'oa kucha na meno bila gazi ni CDM, wachoma makanisa ni CDM, yaani social unrest zote katika nchi hii wanasababisha CDM? Tafakari kwanza mkuu.. Huwe objective badala ya kushabikia vyama au siasa.

Ulishawahi kuyasikia hayo yote kabla ya uwepo wa chadema?
 
Back
Top Bottom