Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,514
wanaochochea itakuwa ni chadema tu, hakuna wengine.
unawapaisha chadema tu kumbuka mbunge wanu ndo alishitakiwa na kule kuna mbunge wa cuf!
wanaochochea itakuwa ni chadema tu, hakuna wengine.
Wanaochochea itakuwa ni chadema tu, hakuna wengine.
siasa za cuf na chadema zinachekesha sana ni uongo na vurugu tu wao wameona ndiyo mkombozi wao.
Mbona unajichanganya? Kwani wanamtwara ni Wachaga au wakristo?
unawapaisha chadema tu kumbuka mbunge wanu ndo alishitakiwa na kule kuna mbunge wa cuf!
KWELI WE ZOBA KAMA LILIVYO JINA LAKO KILA UKILISOMA NENO" CHADEMA" UNAWEWESEKA NA KUTOKA POVU OVYO.Eleza uhusika wa chadema ktk hilo sio porojo.
huyo josefina ni mama yako nin?mbona huishi kumtaja?
Habari wa jf nipo mjini Mtwara hapa,ktk kile kinacho dhihirisha kua wana Mtwara bado hawajakubaliana na hoja ya watawala kua gas iende Dar lori lililokua limebeba shehena ya mabomba ya gasi limeshambuliwa kwa mawe mara tu lilipoanza kuingia manispaa ya mikinda Mtwara mjini na dereva kujeruhiwa vibaya,
mpaka sasa lori hilo lipo kituo kikubwa cha polisi hapa Mtwara,
ni wiki moja tu imepita watu kazaa walikamatwa na polisi hapa Mtwara kwa kile kinachodaiwa kusambaza waraka wa kuhujum miundombinuu yote ya gas mara tu serikali itakapo anza utekelezaji wake wa ujenzi wa bomba hilo kupeleka Dar,
Wanaochochea itakuwa ni chadema tu, hakuna wengine.
Huwa najiuliza kama kweli ni Watanzania nyinyi? hivi hata hujui tofauti ya kuathirika na kuadhirika halafu unajidai wewe Kiswahili ni lugha yako ya Taifa? Pole sana.
huo u cuf uliniingiza wewe?
Chadema siku zote si hawana ubunifu na huanzisha wenzao wakishaanza.
Wanaochochea itakuwa ni chadema tu, hakuna wengine.
Tusiishie kupongezana ujinga mitandaoni, tuwe tunaenda na kupeana 'HI' lupango.
Upuuzi wa watu wa Mtwara nitaupinga daima! Acheni uchawi na kujitenga, Mtwara haitabadilika kwa tabia zile zile hata mkipewa almasi.
Tusiishie kupongezana ujinga mitandaoni, tuwe tunaenda na kupeana 'HI' lupango.
Upuuzi wa watu wa Mtwara nitaupinga daima! Acheni uchawi na kujitenga, Mtwara haitabadilika kwa tabia zile zile hata mkipewa almasi.
Asante sana kwakunisahihisha ni ulimi uliteleza! Narudia tena kwa msisitizO - Naona kama umeathirika na mafuta ya UBUYU!Huwa najiuliza kama kweli ni Watanzania nyinyi? hivi hata hujui tofauti ya kuathirika na kuadhirika halafu unajidai wewe Kiswahili ni lugha yako ya Taifa? Pole sana.
Kumbe chadema ni wacaga na wakristo, ahsante kwa kunijuza hilo.
Tusiishie kupongezana ujinga mitandaoni, tuwe tunaenda na kupeana 'HI' lupango.
Upuuzi wa watu wa Mtwara nitaupinga daima! Acheni uchawi na kujitenga, Mtwara haitabadilika kwa tabia zile zile hata mkipewa almasi.