Lori lenye shehena ya bomba lashambuliwa Mtwara!

Lori lenye shehena ya bomba lashambuliwa Mtwara!

Yanayotokea Mtwara na muendelezo wake kwa muda mrefu sasa ni dalili kuwa hakuna link effective kati ya wananchi wa sehemu hiyo na serikali ikiwakilishwa na vyama vya siasa yaani chama tawala na vya upinzani. Huu ubishi wa Mtwara na Lindi hata kama unachochewa na watu wenye malengo yao, kitendo cha kushindwa kutengeneza forum ya maridhiano kama watanzania, si ishara nzuri. Kama watanzania tumekosea wapi? na chama tawala na serikali vimekosea wapi? Itisheni mijadala na wadau halisi wa swala hili tusiadhirike na tusiathirike kwani fujo zilizopo wakati serikali tayari ina makubaliano na mikataba ya fedha nyingi inaweza kuleta vita na mauaji makubwa na kulitia doa taifa letu kwa kuwa na civil war kwa mara ya kwanza, baad ya uhuru. Sitaku ku-speculate lakini kuna mtu au watu wenye akili kubwa, malengo makubwa na wenye kuaminika katika dola hii ambao wana abuse knowledge au information kuhusu hizi project za gesi na wameamua kumwaga sijui mboga au ugali. Tujiangalie sana. Kama zilivyo nchi nyingine kulikowahi kutokea ma-dictator wa ajabu, tuna watu wabaya sana nchi hii na baadhi yao huenda wana miss vitu au muda mchache sana kuchukua au kuuza nchi hivyo tuwe makini. Hii siyo bure.
 
Tusiishie kupongezana ujinga mitandaoni, tuwe tunaenda na kupeana 'HI' lupango.

Upuuzi wa watu wa Mtwara nitaupinga daima! Acheni uchawi na kujitenga, Mtwara haitabadilika kwa tabia zile zile hata mkipewa almasi.

Umemaliza kila kitu! Naunga Mkono Hoja!
 
Ulishawahi kuyasikia hayo yote kabla ya uwepo wa chadema?

Nakubaliana na wewe mkuu zomba

Angalia hawa hapa CHADEMA wanarusha BOMU!!!

Askari na Mwangosi.JPG


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Ulishawahi kuyasikia hayo yote kabla ya uwepo wa chadema?

Yangekuwepo wapi wakati wakati ule CDM ilikuwa haijawa chama cha wazalendo? Si ndizo njia wanatumia kukidhoofisha CDM? Kwa mantiki hii ili kuwe na amani basi vyama vya upinzani visiwepo!!! Ndicho mnachotaka? Kuweni na fair play na kama ni kushindwa admit!!!! Kwa nini utake kukaa madarakani kupitia fujo na damu za watu? Mnapandikiza chuki kwa watanzania!!! Ila wazalendo wengi wameshafahamu mbinu hizo!! watanzania wa leo si wale wa juzi na jana!!! Na miaka inavyosogea hali itabadilika zaidi kwa kuwa kizazi chenye uelewa wa haya masuala kitaongezeka na possibly watakuwa ni wapiga kura!!! Hapo ngoma inogile!!
 
Nakubaliana na wewe mkuu zomba

Angalia hawa hapa CHADEMA wanarusha BOMU!!!

View attachment 103053


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Unaweka picha ya mtu aliyemvaa mkuu wa FFU? nawewe nenda kajaribu FFU wakiwa kwenye operation yao, uone nini kitakufika. Hao hawajuwi lugha, wanasikia command ya mkubwa wao tu, halafu ukamvae? duh, hiyo ni suicide.
 
Yangekuwepo wapi wakati wakati ule CDM ilikuwa haijawa chama cha wazalendo? Si ndizo njia wanatumia kukidhoofisha CDM? Kwa mantiki hii ili kuwe na amani basi vyama vya upinzani visiwepo!!! Ndicho mnachotaka? Kuweni na fair play na kama ni kushindwa admit!!!! Kwa nini utake kukaa madarakani kupitia fujo na damu za watu? Mnapandikiza chuki kwa watanzania!!! Ila wazalendo wengi wameshafahamu mbinu hizo!! watanzania wa leo si wale wa juzi na jana!!! Na miaka inavyosogea hali itabadilika zaidi kwa kuwa kizazi chenye uelewa wa haya masuala kitaongezeka na possibly watakuwa ni wapiga kura!!! Hapo ngoma inogile!!

Tunataka kifutwe kabisa si kukidhoofisha tu, kimetuletea udini, ukabila, uvunjifu wa amani, matusi, na kila balaa ulijuwalo na usilolijuwa. Ni zaidi ya kikundi cha wahuni.

Ulitegemea nini kwa chama kinachoongozwa na dj na mwingine aliyeshindwa kuchunga kondoo?
 
Bado haitoki tuuu?

"To know the enemy is half the victory"
 
Wanaochochea itakuwa ni chadema tu, hakuna wengine.

Chadema wanapendwa janani hata uzi usiohusu cdm lazima itajwe. Hongera CDM kwa kufanikiwa kuingia kwenye mioyo ya watu.
 
Tunataka kifutwe kabisa si kukidhoofisha tu, kimetuletea udini, ukabila, uvunjifu wa amani, matusi, na kila balaa ulijuwalo na usilolijuwa. Ni zaidi ya kikundi cha wahuni.

Ulitegemea nini kwa chama kinachoongozwa na dj na mwingine aliyeshindwa kuchunga kondoo?
Mkuu Zomba CDM haijawahi kuharibu amani ya nchi hii!!! Jitazame upya!!! Matusi hadi bungeni ni chama kipi kinaongoza!!! DJ ana busara na uwezo wa kuongoza kuliko dhaifu!!!!!?????????? Hao wenye uwezo wa kuongoza mbona wameshindwa na tumefika tulipo? Hata kile kizuri kilichoanzishwa kimeharibiwa!!! Ni watanzania wangapi wako below poverty line? over 69%!!!!! Ndiyo maisha bora kwa kila mtanzania!!!! Ni lazima kieleweke mkuu!!
 
Mkuu Zomba CDM haijawahi kuharibu amani ya nchi hii!!! Jitazame upya!!! Matusi hadi bungeni ni chama kipi kinaongoza!!! DJ ana busara na uwezo wa kuongoza kuliko dhaifu!!!!!?????????? Hao wenye uwezo wa kuongoza mbona wameshindwa na tumefika tulipo? Hata kile kizuri kilichoanzishwa kimeharibiwa!!! Ni watanzania wangapi wako below poverty line? over 69%!!!!! Ndiyo maisha bora kwa kila mtanzania!!!! Ni lazima kieleweke mkuu!!

Nnauhakika wewe huijui hii nchi na umezaliwa baada ya uwepo wa chadema.
 
Nnauhakika wewe huijui hii nchi na umezaliwa baada ya uwepo wa chadema.

Khaaa Zomba, hilo ndilo hitimisho lako kwangu??????????? Inawezekana!!!! Ninayoyafahamu ni mengi kuliko ninayoweka hapa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Unaweka picha ya mtu aliyemvaa mkuu wa FFU? nawewe nenda kajaribu FFU wakiwa kwenye operation yao, uone nini kitakufika. Hao hawajuwi lugha, wanasikia command ya mkubwa wao tu, halafu ukamvae? duh, hiyo ni suicide.


Na hawa wengine:-

View attachment 103059


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Unaweka picha ya mtu aliyemvaa mkuu wa FFU? nawewe nenda kajaribu FFU wakiwa kwenye operation yao, uone nini kitakufika. Hao hawajuwi lugha, wanasikia command ya mkubwa wao tu, halafu ukamvae? duh, hiyo ni suicide.
Cna uhakika kama hata shule umeenda duu..
 
Sirikali hamna jinsi mnabidi mkae chini na wana mtwara kuresolve huo mgogoro mtatumia f3dha nyingi at ze end wanamtwara wataiaribu!
 
Mbona huu ni mwanzo tu; serikali itaingia gharama kubwa sana kulinda bomba hili na wasipoangalia faida itakuwa ngumu kuonekana
 
Sidhani kama wanaMtwara wanataka kujitenga.......issues has to be addressed na sio kupigana virungu.WanaMtwara lazima watakua na hoja za msingi kabisa ambazo zisiposikilizwa,sustainability ya huo mradi itakua mashakani.

Albert Einstein aliwah kuema kwamba "Any intelligent fool can make things bigger, more complex, and more violent. It takes a touch of genius -- and a lot of courage -- to move in the opposite direction."

We do need that genius to change the direction......virungu,wanajeshi,mabomu ya machozi havitatusaidia katika hili.....

Hawataki kujitenga, hawataki ajira, hawataki gesi......nakuhakikishia hakuna wanachotaka zaidi ya RABSHA. Huu ni wazimu tu Mob Mentality ambao huisha once mtu akiwa isolated. Hapo kwenye red umesema wana hoja za msingi, na hata mimi ninaouita upuuzi ndio hizo hoja zao usizozifahamu japo UNADHANI ni za msingi.

Amini nakuambia, watu wa Hale, Kidatu, Mtera na hata sisi tulioishi Ubungo hatukufaidika na kitu chochote kwa machuma yale ya kuzalishia umeme kuwepo karibu na tunapoishi. Kinachosumbua watu ni upumbavu wa kupenda ushabiki zaidi ya uhalisia.

Hawa wameambiwa kuwa gesi inaenda Bagamoyo, na huu ndio ujinga utakaowagharimu mtakapokuwa vifungoni. Na nikuongezee tu kuwa, GESI SI UMEME TU, ni umeme na matumizi mengine. Utakuwa ni ujinga uliotukuka kuzalisha UMEME MTWARA HALAFU UUSAFIRISHE KUJA KWENYE MAHITAJI, HALAFU USAFIRISHE TENA GESI IJE KWENYE MAHITAJI just to make some fools happy.
 
Back
Top Bottom