Aiseee pori la mitamba /ranchi ni hatari halafu ni tengefu ni bora serikali walikate viwanja vya makazi,niliwahi kupita hapo nikitokea kibaha kwenda Baobab ,ni hatarishi endapo ukipata breakdown.
Hivi Macho yanarecord taswira za watu? Wazee wa forensic tupeni maujuzi hapa ,kama ndiyo kuretriev data za kwenye macho wanatumia technoljia gani?
Mzee wake alisema hao ni proffesional killers means watakuwa wanafanya kila kitu kutoacha alama na ndiyo maana hata kanisani hawakuonekana japo kulikuwa na CCTV ,aliyeeonekana ni Martha tu ,kwahiyo walijua kabisa kanisani kuna CCTV hivyo walikaa nje.
Kwenye traces za Finger Prints ,Macho,Simu sitaki kwenda sana maana ni issue za kipelelezi na sitaki kuweka wazi mbinu maana tutawapa kazi nzito polisi katika kufatilia issue za kipelelezi.