Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Marehemu awezi kusemwa vibaya.ila aliachishwa kazi kwa sababu ( ).
Cheo chake ni afisa mikopo?.
Mdada mzuri aliyesumbua wanaume mpaka kumiliki gari aina toyota ratics new model.
Baba yake anasema mwanae kamlea vizuri na alikuwa anatarajia kuolewa siku za karibuni. Inaweza kuwa kisasi cha mapenzi au kazi
 
**Mkuu wake wa kazi anasema Martha aliacha kazi mwezi mmoja uliopita

**Baba wa marehemu anasema mtoto wake alitekwa na kupakiwa kwenye gari na sio bodaboda pia figo lake liliharibiwa inawezekana alipewa drugs ndo akapigwa moto

Hapa kisasi cha mapenzi au kazi aliyokuwa anafanya yaweza kuwa chanzo
Aliwek hisia

Alisema anaamini mwanae alipakizwa kwa gari na bodaboda maana kwa jinsi alivyo lazma wangeangushana tu
 
Dot to dot
download%20(7).jpg
 
Aiseee pori la mitamba /ranchi ni hatari halafu ni tengefu ni bora serikali walikate viwanja vya makazi,niliwahi kupita hapo nikitokea kibaha kwenda Baobab ,ni hatarishi endapo ukipata breakdown.

Hivi Macho yanarecord taswira za watu? Wazee wa forensic tupeni maujuzi hapa ,kama ndiyo kuretriev data za kwenye macho wanatumia technoljia gani?

Mzee wake alisema hao ni proffesional killers means watakuwa wanafanya kila kitu kutoacha alama na ndiyo maana hata kanisani hawakuonekana japo kulikuwa na CCTV ,aliyeeonekana ni Martha tu ,kwahiyo walijua kabisa kanisani kuna CCTV hivyo walikaa nje.

Kwenye traces za Finger Prints ,Macho,Simu sitaki kwenda sana maana ni issue za kipelelezi na sitaki kuweka wazi mbinu maana tutawapa kazi nzito polisi katika kufatilia issue za kipelelezi.
 
Usicheze na kahama na kahama kuna matajiri alafu wenye roho za ajabu ?.
Pili. huyu dada alikuwa mapepe ?
Tatu .kabla ya kwenda kibaha alifukuzwa kwa sababu za kiofisi ijulikani ni utovu au mengine kiofisi.
Nne hakuwa na cheo hiko ni Afisa mikopo.
Tano .Matukio ya kahama kesi za kufanyiana unyama zipo sana sio mapenzi,sio biashara na n.k.

Uzuri wa huyu dada inaonyesha alikimbia kuofia vitisho kwa mwanamke mwenzake au mapenzi ?
Wewe ndiyo unatufuruga kabisa. Ukisikia watu wanaoingilia uchunguzi na kuufuruga kwa interest zao, basi ndiyo wewe sasa.
 
Intelligence yangu inaniambia pasi na shaka kuwa hili tukio ni UGOMVI WA MAPENZI..

Mzee wake alisema kwamba Martha aliacha kazi kama siku chache zilizopita na kuanza kufanya shughuli zake ,waanzie pia kazini kwake huenda alipiga mshindo akawarusha wenzake na inaoenekana alikuwa mtu wa madili mengi maana mzee wake anasema alikuwa na mali.

Kama alivyosema mshana ,case hii ni very simple kwa wapelelezi maana ina alama nyingi sana za kufatilia wahusika wa mauaji.
 
Aiseee pori la mitamba /ranchi ni hatari halafu ni tengefu ni bora serikali walikate viwanja vya makazi,niliwahi kupita hapo nikitokea kibaha kwenda Baobab ,ni hatarishi endapo ukipata breakdown.

Hivi Macho yanarecord taswira za watu? Wazee wa forensic tupeni maujuzi hapa ,kama ndiyo kuretriev data za kwenye macho wanatumia technoljia gani?

Mzee wake alisema hao ni proffesional killers means watakuwa wanafanya kila kitu kutoacha alama na ndiyo maana hata kanisani hawakuonekana japo kulikuwa na CCTV ,aliyeeonekana ni Martha tu ,kwahiyo walijua kabisa kanisani kuna CCTV hivyo walikaa nje.

Kwenye traces za Finger Prints ,Macho,Simu sitaki kwenda sana maana ni issue za kipelelezi na sitaki kuweka wazi mbinu maana tutawapa kazi nzito polisi katika kufatilia issue za kipelelezi.
hoax
 
Chonde conde hawa waliofanya kitendo hiki kama watapatikana basi wasifunguliwe mashtaka yeyote Bali watajane wote mwanzo Hadi mwisho alafu na wao wapigwe kibiriti mbele ya camera .

Tusilee ujinga kama huu kwa kuwafunga kifungo Cha maisha.

Wanatakiwa kufa kama wao walivyo ua
 
Aiseee pori la mitamba /ranchi ni hatari halafu ni tengefu ni bora serikali walikate viwanja vya makazi,niliwahi kupita hapo nikitokea kibaha kwenda Baobab ,ni hatarishi endapo ukipata breakdown.

Hivi Macho yanarecord taswira za watu? Wazee wa forensic tupeni maujuzi hapa ,kama ndiyo kuretriev data za kwenye macho wanatumia technoljia gani?

Mzee wake alisema hao ni proffesional killers means watakuwa wanafanya kila kitu kutoacha alama na ndiyo maana hata kanisani hawakuonekana japo kulikuwa na CCTV ,aliyeeonekana ni Martha tu ,kwahiyo walijua kabisa kanisani kuna CCTV hivyo walikaa nje.

Kwenye traces za Finger Prints ,Macho,Simu sitaki kwenda sana maana ni issue za kipelelezi na sitaki kuweka wazi mbinu maana tutawapa kazi nzito polisi katika kufatilia issue za kipelelezi.
 
Mzee wake alisema kwamba Martha aliacha kazi kama siku chache zilizopita na kuanza kufanya shughuli zake ,waanzie pia kazini kwake huenda alipiga mshindo akawarusha wenzake na inaoenekana alikuwa mtu wa madili mengi maana mzee wake anasema alikuwa na mali.

Kama alivyosema mshana ,case hii ni very simple kwa wapelelezi maana ina alama nyingi sana za kufatilia wahusika wa mauaji.
Kama ndivyo, basi kesi hii ni nyepesi.
 
Chanzo cha yeye kuacha kazi ni nini? Je walimpima kugundua kama alipewa sumu?

Kwanini arudi kwao ndio tukio litokee?
Ukijaribu kuunganisha dots utaona fika plan ya tukio zima limeanzia huko shinyanga na kuja kuhitimishwa huko kibaha.

Na watekelezaji inawezekana wametokea pia huko huko shinyanga ndio maana walikuwa na uwezo wa kumteka na kumpeleka kumuua.

Haki itendeke juu ya kifo cha marehemu.
 
Chanzo cha yeye kuacha kazi ni nini?
Je walimpima kugundua kama alipewa sumu?
Kwanini arudi kwao ndio tukio litokee?
Ukijaribu kuunganisha dots utaona fika plan ya tukio zima limeanzia huko shinyanga na kuja kuhitimishwa huko kibaha. Na watekelezaji inawezekana wametokea pia huko huko shinyanga ndio maana walikuwa na uwezo wa kumteka na kumpeleka kumuua.
Haki itendeke juu ya kifo cha marehemu.
Ishu ya sumu imekuja baada ya figo kufeli na wataalam wa tiba za moto walithibitisha kwamba ule moto majeraha yake yasingeweza kumuua
 
Back
Top Bottom