Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Said Said Athumani castmmakea wa tra yeye na Genge lake ndio wanahusika na mauaji ya huyu Bint ambae Biashara yake kubwa Said nikaitengeneza Not Bandia
dada alikuwa anafanya kazi BOA,nasikia alikuwa ni Afisa mikopo shinyanga wakamtaka aache kazi in 24 hrs akakubali,akaja kwa wazazi wake Kibaha kwa mbonde,siku ya ijumaa iliyopita jioni alikuwa kanisani kkkt Tumbi
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft99%2F1.5%2F16%2F1f62d.png&hash=2a77f6d6a0d5d87c2e59e7428567f98c" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft99%2F1.5%2F16%2F1f62d.png&hash=2a77f6d6a0d5d87c2e59e7428567f98c" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />

akapigiwa simu au akatumiwa msg na mtu kwamba anamzigo wake amwelekeze alipo amletee ndo akamwelekeza walipofika akamwachia mama yake simu akatoka kumfuata ndo akatekwa akapelekwa mpaka msitu wa mbande Kama sikosei wakamchoma sindano na wakamchoma Moto wakamwacha ndo akajitahidi kukimbia mpaka kwa mama mmoja ndo wakamsaidia akataja no za baba yake,alikimbizwa Tumbi Kisha mloganzila mwisho akapelekwa muhimbili akakaa ICU mpaka alipofariki jtano, watu wakaaga mwili wake.
Kifo cha namna hii kinapaswa kiliume taifa toka juzi wauaji hawakamatwi,na no zao za cm zipo walizompigia na kumuita atoke nje, na Baadae kumteka hii inafanyika kutokana na nguvu za fedha alizonazo Said wa tra
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft99%2F1.5%2F16%2F1f62d.png&hash=2a77f6d6a0d5d87c2e59e7428567f98c" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft99%2F1.5%2F16%2F1f62d.png&hash=2a77f6d6a0d5d87c2e59e7428567f98c" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft99%2F1.5%2F16%2F1f62d.png&hash=2a77f6d6a0d5d87c2e59e7428567f98c" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
na Samia hataki kumuondoa huyu mtu licha ya tuhuma hadi za kuteka watoto nakuwatoa kafara zikimuandamana mtu huyu
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft99%2F1.5%2F16%2F1f62d.png&hash=2a77f6d6a0d5d87c2e59e7428567f98c" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft99%2F1.5%2F16%2F1f62d.png&hash=2a77f6d6a0d5d87c2e59e7428567f98c" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fstatic.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft99%2F1.5%2F16%2F1f62d.png&hash=2a77f6d6a0d5d87c2e59e7428567f98c" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />


nimeitoa kwa kigogo kigogo wa facebook , huyo jamaa SS Athumani wanadai anafanya kazi TRA ndio genge lao lenye hio ishu ya Martha.
Amna kigogo wa FB mzeeees kigogo chronicles ni Twitter tu
 
Kwa hii hapa inawezekana ilikuwa watoe pesa Halali bank halafu waingize fedha haramu same amount. Na niwaambie branches lazima pia zina signatories na huenda Martha alikuwa mmoja wao na alikataa kupitisha hiyo bank transfer. Hivyo kwenye maofisa signatories wanatoka kwenye branch Management. Hatujui mengi ila Kigogo ni hatari Sana huwa mara nyingi hakosei issues zake. Ngoja tusubiri.
Wapi ulishaona kigogo fb
 
Mimi nishakula pisi ya kufanana na hii hamna maajabu apo na nilii trap using some cash kibunda nilichoproduce kwa ajili ya kuipa some kilinyakua chote nikakisisitizia kiniachie ata noti mocha tu kikasema vikoba aise nikafanya some effort ila sikuweza nikaiacha tu... Conclusion ikawa awa ni as beautiful as coiled cobra admire it from far or sustain a bite...

Ata i dont feel pity for Martha. My gut strongly tells me she had it coming. She screwed somebody so he/she replied in kind
Umeandika ukiwa umelewa au
 
Pisi kali is not an option aisee . Its an involuntary action you see akili itarudi ukishapigwa tukio but then life must go on ... If its so unbearable you retaliate
If its so unbearable you retaliate...! @ your own risk dude ...! Not everytime you wanna make it.
 
Mimi nishakula pisi ya kufanana na hii hamna maajabu apo na nilii trap using some cash kibunda nilichoproduce kwa ajili ya kuipa some kilinyakua chote nikakisisitizia kiniachie ata noti mocha tu kikasema vikoba aise nikafanya some effort ila sikuweza nikaiacha tu... Conclusion ikawa awa ni as beautiful as coiled cobra admire it from far or sustain a bite...

Ata i dont feel pity for Martha. My gut strongly tells me she had it coming. She screwed somebody so he/she replied in kind
She screwed somebody


Point Iko hapa
 
Hapa umeelezea vizuri sana, na huko kahama kuna pesa mingi za madini kwahio kuingiza pesa haramu na kutoa halali ingewezekana, labda alikataa wakaona isiwe tabu. Kama ni hivyo atakua alishakula zingine kwa mtindo huu labda alikua kashiba sasa.
Hizi ishu huanza na kiasi kidogo, kisha kiwango huongezeka kila wakati, na walivyo washenzi ili usije ukagoma kufanya kazi, malipo yako yote unapewa in advance deni linabaki kwako

Inapofika kipindi cha kupiga ndefu hakuna majadiliano tena, wanakuja wanakubwagia fungu kisha wanakupa tarehe ya kufanya kazi...!
 
Hizi ishu huanza na kiasi kidogo, kisha kiwango huongezeka kila wakati, na walivyo washenzi ili usije ukagoma kufanya kazi, malipo yako yote unapewa in advance deni linabaki kwako

Inapofika kipindi cha kupiga ndefu hakuna majadiliano tena, wanakuja wanakubwagia fungu kisha wanakupa tarehe ya kufanya kazi...!
Inawezekana hilo tawi la bank alikokuwa anafanyia kazi ndio ilikuwa sehemu ya madili ya hatari yanapofanyikia. Inabidi ufanyike upelelezi wa kina kwenye tawi hilo. Haya mauaji yamefanywa na watu waliojipanga
 
Watu waliweza kumuua waziri mkuu,Sokoine,sembuse huyu lay person!?kuhusu DNA kukutwa kwenye nguo au mwili wa marehemu Hilo,halipo,maana waliutia moto mwili!kazi ya benk alikuwa ameisha acha,
Kama watu walimuua yule mtangazaji wa ITV,aliyekuwa Hana mkono mmoja,na wakabeba mwili wakautupa makumbusho!!na hawajapatikana mpaka leo.
Hata huyo dada,ndugu zake,wazike tu maisha yaendelee,jeshi letu halina hali Wala motisha ya kufatilia vifo vya watu wadogo kama Hawa.
Una uhakika kuwa wale waliomuua yule dada wa Itv hawakukamatwa??fuatilia vizuri wapo mahabusu siku nyingi sana!!!polisi wetu huwa wakiamua wanaweza sana,tatizo ni pale aliyekufa ni nani?!!kumbuka kifo kile cha RPC Baro kule mwanza!!
 
Post ya mpenzi wake







Hapo inabidi ufanyike upelelezi wa kina. Maana hayo mauaji ni ya watu waliojipanga kisawasawa. Inawezekana wauwaji walikodiwa na kulipwa hela ndefu ili kumuua huyo binti. Hapo ni masuala ya hela au mapenzi. Au sponsor wake wa huko alipokuwa amemind kuachwa kwake na kuenda kwa mpenzi wake wa zamani. Au madili ya hatari ya benki.

Nimemsoma huko online baba yake aliongea na millardayo kwenye mahojiano, marehemu alishamueleza ishu zake 3/4, na alikua na msongo wa mawazo. Ila mzee kasema kabisa wivu wa kimapenzi hilo halipo katika sababu za mauaji hayo. Hakwenda deep sana kwa sababu asije haribu uchunguzi. Kwahio hapa suala ni FWEZA tu.
 
Post ya mpenzi wake







Hapo inabidi ufanyike upelelezi wa kina. Maana hayo mauaji ni ya watu waliojipanga kisawasawa. Inawezekana wauwaji walikodiwa na kulipwa hela ndefu ili kumuua huyo binti. Hapo ni masuala ya hela au mapenzi. Au sponsor wake wa huko alipokuwa amemind kuachwa kwake na kuenda kwa mpenzi wake wa zamani. Au madili ya hatari ya benki.
Sasa post za rafiki umeleta Ili nn
 
Said Said Athumani castmmakea wa tra yeye na Genge lake ndio wanahusika na mauaji ya huyu Bint ambae Biashara yake kubwa Said nikaitengeneza Not Bandia
dada alikuwa anafanya kazi BOA,nasikia alikuwa ni Afisa mikopo shinyanga wakamtaka aache kazi in 24 hrs akakubali,akaja kwa wazazi wake Kibaha kwa mbonde,siku ya ijumaa iliyopita jioni alikuwa kanisani kkkt Tumbi
😭
😭

akapigiwa simu au akatumiwa msg na mtu kwamba anamzigo wake amwelekeze alipo amletee ndo akamwelekeza walipofika akamwachia mama yake simu akatoka kumfuata ndo akatekwa akapelekwa mpaka msitu wa mbande Kama sikosei wakamchoma sindano na wakamchoma Moto wakamwacha ndo akajitahidi kukimbia mpaka kwa mama mmoja ndo wakamsaidia akataja no za baba yake,alikimbizwa Tumbi Kisha mloganzila mwisho akapelekwa muhimbili akakaa ICU mpaka alipofariki jtano, watu wakaaga mwili wake.
Kifo cha namna hii kinapaswa kiliume taifa toka juzi wauaji hawakamatwi,na no zao za cm zipo walizompigia na kumuita atoke nje, na Baadae kumteka hii inafanyika kutokana na nguvu za fedha alizonazo Said wa tra
😭
😭
😭
na Samia hataki kumuondoa huyu mtu licha ya tuhuma hadi za kuteka watoto nakuwatoa kafara zikimuandamana mtu huyu
😭
😭
😭


nimeitoa kwa kigogo kigogo wa facebook , huyo jamaa SS Athumani wanadai anafanya kazi TRA ndio genge lao lenye hio ishu ya Martha.
Syo kwa mwandiko huo....chai na chapati...Acha inyeshe kwanza mikoa 11...
 
Back
Top Bottom