Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Huyu ndio neema
20230314_123441.jpg
 
Wa Tz wengi huwa wakisikia mtu kauwawa wanakimbilia kwenye suala la mapenzi na kama marehem alikua na mgogoro na mpenzi wake wanahitimisha kuwa muuaji ni mpenzi wake huo ni udhaifu mkubwa ambao wahalifu wengi wanautumia kama cover ya kutekeleza uhalifu bila kupatikana na baadae wanabambikiwa kesi watu wengine kutokana na ushahidi unao lazimishwa na jamii.

Kesi hii siyo rahisi na ikichukuliwa ni kitu rahisi kuna hatari kubwa ya watu kubambikiwa kesi, kwenye kesi kama hii ukishakamata watu 20 kama ulivyo shauri Kuna uwezekano mkubwa wa ushahidi kuharibika na kuwaingiza kwenye hatia watu wasio na hatia maana unao wakamata siyo wote ni wahusika, wahusika waliobaki nje wanaweza kutengeneza ushahidi fake wa kimazingira kuwabambikia wahusika walio kamatwa ambao hawajahusika ili wao wahalifu wawe salama.

Kila mtu anatakiwa ajue wauaji hawa hawakua wazembe hata kidogo na siyo rahisi kuacha ushahidi kuwa wao ndo wametenda, kilicho muua marehemu siyo moto hiyo yote ni katika harakati za kupoteza ushahidi, kwahiyo hata ukisema simu ichunguzwe Kuna uwezekano mkubwa ikawa siyo rahisi hao wahalifu kuwa walitumia simu zao kutekeleza haya mauaji.
Tuache unguzi uendelee maana kesi ya mauaji inahitaji ushahidi uliokamkamilika usio na shaka, kwenye mauaji kazi siyo kumtuhumu mtu kazi ni kumuunganisha Mtuhumiwa na ushahidi, wanachofanya wahalifu ni kuharibu ushahidi ili iwe ngumu kwao kuunganishwa na tukio
 
Hakuna ulicho kiacha kama ni haki pasina konakona,wiki ni nyingi sana kupatikana hao watu.Ikumbukwe Huyo ni mhasibu ana kalia koneksheni nyingi za watu,lakini usije shangaa zikaja story za wivu wa mapenzi.
Ni maoni tuu
Hakuwa muhasibu,alikuwa ofisa mikopo
 
Doooohhh mimi niliwaza kivingine kwamba kama aliwarusha kifedha wenzake kazini baada ya kupiga deal ,kumbe kwa hapa inaonekana alikataa kupiga deal.

Yaani ukifuatisha series ya matukio yake kabla ya kifo lazima utajua kwamba chanzo cha kifo ni issue za kazi tu....Kitendo cha kuacha kazi mwezi mmoja then linatokea hilo tukio obvious utajua issue ni nini.
Kweli inawezekana kazi ndo imemuondoa
 
Pale kanisani kama kuna camera waanzie hapo, alipotoka nje aliongea na nani au alipanda gari gani? hii kesi inaonekana ni rahisi ,lakini kama ni wale polisi waliotaka kuongea na dereva kwanza ili wafanye uchunguzi pale Dodoma sina imani kabisa
 
Pale kanisani kama kuna camera waanzie hapo, alipotoka nje aliongea na nani au alipanda gari gani? hii kesi inaonekana ni rahisi ,lakini kama ni wale polisi waliotaka kuongea na dereva kwanza ili wafanye uchunguzi pale Dodoma sina imani kabisa
CCTV camera za kanisani hazimuliki mpaka barabarani
 
Back
Top Bottom